Yaliyomo
Mei 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Juni (Mwezi wa 6) 27–Julai (Mwezi wa 7) 3, 2011
Familia za Kikristo—‘Kaeni Macho’
UKURASA WA 7
Julai 4-10, 2011
Familia za Kikristo—“Endeleeni Kuwa Tayari”
UKURASA WA 11
Julai 11-17, 2011
Ni Nani Mtu wa Maana Zaidi Katika Maisha Yako?
UKURASA WA 16
Julai 18-24, 2011
‘Lo! Jinsi Kilivyo Kina cha Hekima ya Mungu!’
UKURASA WA 21
Julai 25-31, 2011
Kumtegemea Yehova Kikamili Kunatuchochea Kuwa na Uhakika
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-15
Makala ya kwanza inazungumzia daraka ambalo kila mshiriki wa familia ya Kikristo anapaswa kutimiza ili kuendelea kukaa macho kiroho. Makala ya pili inaonyesha jinsi ambavyo kuwa na jicho rahisi, kufuatia miradi ya kiroho, na kuendelea kuwa na jioni ya Ibada ya Familia kunaweza kuisaidia familia kuendelea kuwa na hali nzuri kiroho.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20
Yehova anapaswa kuwa Mtu wa maana zaidi katika maisha ya watumishi wake. Habari hii inakazia mambo ambayo tunajifunza kuhusu jambo hilo kutoka kwa mambo yaliyompata mwanamke wa kwanza, Hawa; mwanamume mwaminifu Ayubu; na Mwana mkamilifu wa Mungu, Yesu Kristo.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 21-25
Katika Waroma sura ya 11, mtume Paulo anazungumza kuhusu mzeituni wa mfano. Mambo mbalimbali kuhusu mti huo yanafananisha nini? Tunapozungumzia maana ya mambo hayo katika habari hii, hatutajifunza tu mengi kuhusu kusudi la Yehova lakini pia tutastaajabishwa na kina cha hekima yake.
MAKALA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 28-32
Makala hii inazungumzia Zaburi ya 3 na ya 4, ambazo zilitungwa na Mfalme Daudi. Nyimbo hizo zilizotungwa chini ya mwongozo wa roho ya Mungu zinaonyesha kwamba tunaweza kutenda kwa uhakika ikiwa tutasali ili tupate msaada wa Yehova na kumtegemea kikamili. Hilo ndilo jambo ambalo Daudi alifanya alipopatwa na taabu, kama vile udanganyifu wa mwana wake Absalomu.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Je, Kweli Unapendezwa na Neno la Mungu?
6 “Mwangalizi Mzuri Ajabu na Rafiki Mpendwa”
26 Kumfuata Kristo, Kiongozi Mkamilifu