Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 5/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 5/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Mei 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Juni (Mwezi wa 6) 27–Julai (Mwezi wa 7) 3, 2011

Familia za Kikristo—‘Kaeni Macho’

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 69, 57

Julai 4-10, 2011

Familia za Kikristo—“Endeleeni Kuwa Tayari”

UKURASA WA 11

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 32, 63

Julai 11-17, 2011

Ni Nani Mtu wa Maana Zaidi Katika Maisha Yako?

UKURASA WA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 51, 49

Julai 18-24, 2011

‘Lo! Jinsi Kilivyo Kina cha Hekima ya Mungu!’

UKURASA WA 21

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 95, 116

Julai 25-31, 2011

Kumtegemea Yehova Kikamili Kunatuchochea Kuwa na Uhakika

UKURASA WA 28

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 46, 23

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-15

Makala ya kwanza inazungumzia daraka ambalo kila mshiriki wa familia ya Kikristo anapaswa kutimiza ili kuendelea kukaa macho kiroho. Makala ya pili inaonyesha jinsi ambavyo kuwa na jicho rahisi, kufuatia miradi ya kiroho, na kuendelea kuwa na jioni ya Ibada ya Familia kunaweza kuisaidia familia kuendelea kuwa na hali nzuri kiroho.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20

Yehova anapaswa kuwa Mtu wa maana zaidi katika maisha ya watumishi wake. Habari hii inakazia mambo ambayo tunajifunza kuhusu jambo hilo kutoka kwa mambo yaliyompata mwanamke wa kwanza, Hawa; mwanamume mwaminifu Ayubu; na Mwana mkamilifu wa Mungu, Yesu Kristo.

MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 21-25

Katika Waroma sura ya 11, mtume Paulo anazungumza kuhusu mzeituni wa mfano. Mambo mbalimbali kuhusu mti huo yanafananisha nini? Tunapozungumzia maana ya mambo hayo katika habari hii, hatutajifunza tu mengi kuhusu kusudi la Yehova lakini pia tutastaajabishwa na kina cha hekima yake.

MAKALA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 28-32

Makala hii inazungumzia Zaburi ya 3 na ya 4, ambazo zilitungwa na Mfalme Daudi. Nyimbo hizo zilizotungwa chini ya mwongozo wa roho ya Mungu zinaonyesha kwamba tunaweza kutenda kwa uhakika ikiwa tutasali ili tupate msaada wa Yehova na kumtegemea kikamili. Hilo ndilo jambo ambalo Daudi alifanya alipopatwa na taabu, kama vile udanganyifu wa mwana wake Absalomu.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Je, Kweli Unapendezwa na Neno la Mungu?

6 “Mwangalizi Mzuri Ajabu na Rafiki Mpendwa”

26 Kumfuata Kristo, Kiongozi Mkamilifu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki