Yaliyomo
Agosti 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Septemba (Mwezi wa 9) 26–Oktoba (Mwezi wa 10) 2, 2011
UKURASA WA 8
Oktoba 3-9, 2011
UKURASA WA 12
Oktoba 10-16, 2011
UKURASA WA 23
Oktoba 17-23, 2011
UKURASA WA 27
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 8-16
Maandiko ya Kiebrania yana unabii mwingi sana kuhusu Masihi. Kuchunguza unabii fulani kati ya huo kutakusaidia kumtambua Masihi aliyeahidiwa. Habari zilizo katika makala hizi zitakusaidia unaposhiriki katika huduma. Bila shaka, habari hizo zitatia nguvu pia imani yako katika neno la Yehova la kinabii.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 23-31
Umoja ambao Mashahidi wa Yehova wanafurahia ni wa pekee, na hatupaswi kamwe kuupuuza. Makala ya tatu inazungumzia mifano kutoka katika Biblia ambayo inatutia moyo tuwe wenye kufanya amani. Makala ya nne inaonyesha jinsi tunavyoweza kufuatilia amani.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Intaneti—Kutumia kwa Hekima Kifaa cha Ulimwenguni Pote
6 Mapendekezo ya Kufanya Ibada ya Familia na Funzo la Kibinafsi
17 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
22 Maswali Kutoka kwa Wasomaji