Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 10/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 10/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Oktoba 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Novemba (Mwezi wa 11) 28–Desemba (Mwezi wa 12) 4, 2011

Je, Tafrija Unayochagua Inakujenga?

UKURASA WA 8

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 70, 74

Desemba 5-11, 2011

Mashauri ya Hekima Kuhusu Useja na Ndoa

UKURASA WA 13

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 85, 36

Desemba 12-18, 2011

Mtegemee Yehova, “Mungu wa Faraja Yote”

UKURASA WA 23

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 75, 115

Desemba 19-25, 2011

‘Wafariji Wote Wanaoomboleza’

UKURASA WA 27

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 68, 42

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 FUNZO UKURASA WA 8-12

Hata tuwe tunaishi wapi, kutumia kanuni za Biblia kutatusaidia kuchagua aina za tafrija ambazo zinaweza kutujenga. Makala hii itazungumzia jinsi tunavyoweza kuchagua tafrija kwa uangalifu.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 13-17

Uamuzi wa mtu kuhusu useja na ndoa unakuwa na uvutano si juu ya maisha yake yote tu bali pia msimamo wake mbele za Yehova. Habari hii itaonyesha jinsi watumishi wa Mungu, waseja na waliofunga ndoa, wanavyoweza kutumia shauri la Biblia lililo katika 1 Wakorintho sura ya 7 kwa faida yao katika jambo hilo la maana maishani.

MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 23-31

Katika siku hizi za mwisho, watumishi wa Yehova na watu wengine pia wanapambana na hali nyingi zenye kuhuzunisha. Ni hali gani hizo? Faraja wanayohitaji inaweza kupatikana wapi? Makala hizi mbili zinaonyesha jinsi Yehova na Mashahidi wake wanavyowafariji watu katika nyakati hizi zenye msukosuko.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Kwa Nini Ni Muhimu Sana ‘Kuendelea Kukesha’?

5 Acheni Tushangilie Pamoja!

18 Nimefurahia Kumtumikia Yehova

32 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]

Globe: Courtesy of Replogle Globes

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki