Yaliyomo
Oktoba 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Novemba (Mwezi wa 11) 28–Desemba (Mwezi wa 12) 4, 2011
Je, Tafrija Unayochagua Inakujenga?
UKURASA WA 8
Desemba 5-11, 2011
Mashauri ya Hekima Kuhusu Useja na Ndoa
UKURASA WA 13
Desemba 12-18, 2011
Mtegemee Yehova, “Mungu wa Faraja Yote”
UKURASA WA 23
Desemba 19-25, 2011
UKURASA WA 27
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 FUNZO UKURASA WA 8-12
Hata tuwe tunaishi wapi, kutumia kanuni za Biblia kutatusaidia kuchagua aina za tafrija ambazo zinaweza kutujenga. Makala hii itazungumzia jinsi tunavyoweza kuchagua tafrija kwa uangalifu.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 13-17
Uamuzi wa mtu kuhusu useja na ndoa unakuwa na uvutano si juu ya maisha yake yote tu bali pia msimamo wake mbele za Yehova. Habari hii itaonyesha jinsi watumishi wa Mungu, waseja na waliofunga ndoa, wanavyoweza kutumia shauri la Biblia lililo katika 1 Wakorintho sura ya 7 kwa faida yao katika jambo hilo la maana maishani.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 23-31
Katika siku hizi za mwisho, watumishi wa Yehova na watu wengine pia wanapambana na hali nyingi zenye kuhuzunisha. Ni hali gani hizo? Faraja wanayohitaji inaweza kupatikana wapi? Makala hizi mbili zinaonyesha jinsi Yehova na Mashahidi wake wanavyowafariji watu katika nyakati hizi zenye msukosuko.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Kwa Nini Ni Muhimu Sana ‘Kuendelea Kukesha’?
18 Nimefurahia Kumtumikia Yehova
32 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
Globe: Courtesy of Replogle Globes