Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 11/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 11/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Novemba 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Desemba 26, 2011–Januari 1, 2012

“Usitegemee Uelewaji Wako Mwenyewe”

UKURASA WA 6

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 133, 23

Januari 2-8, 2012

Tembea Kupatana na Roho ili Upate Uzima na Amani

UKURASA WA 10

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 83, 120

Januari 9-15, 2012

“Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu Mwovu

UKURASA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 40, 85

Januari 16-22, 2012

Wasaidie Wanaume Wafanye Maendeleo ya Kiroho

UKURASA 24

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 123, 95

Januari 23-29, 2012

Wazoeze Wengine ili Wajitahidi Kufikia Mapendeleo

UKURASA WA 28

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 45, 10

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 6-10

Je, unafaidika kikamili na uandalizi wa sala ambao Mungu ametupatia? Jifunze jinsi ambavyo sala inaweza kukusaidia unapokabili hali zenye kuhuzunisha, unapofanya maamuzi muhimu, au unapojitahidi kushinda vishawishi.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 10-14

Mtume Paulo aliwaambia Wakristo huko Roma mambo waliyopaswa kukazia akili zao ili wapate uzima na amani. Jifunze jinsi unavyoweza kufaidika kutokana na shauri alilowapa.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20

Kama inavyoonyeshwa katika makala hii, wanaume waaminifu wa kale waliishi kama “wakaaji wa muda.” Hivyo ndivyo wafuasi wa mapema wa Yesu walivyoishi. Lakini vipi Wakristo wa kweli leo? Jifunze kile kinachomaanishwa na kuishi kama mkaaji wa muda katika ulimwengu huu mwovu.

MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 24-32

Kuna uhitaji wa wanaume ambao wanaweza kuongoza katika mambo ya kiroho. Yesu aliwasaidia wanaume wengi kukubali habari njema na kisha wakastahili kupata mapendeleo ya utumishi. Kwa kuchunguza njia zake, tutajifunza jinsi tunavyoweza kuwasaidia wanaume tunaokutana nao katika huduma na jinsi tunavyoweza kuwasaidia wanaume waliobatizwa katika kutaniko ili wajitahidi kufikia mapendeleo katika tengenezo la Yehova.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Yehu Atetea Ibada Safi

15 “Mimi Ni Mlemavu Sasa, Lakini Sitakuwa Mlemavu Milele!”

21 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

22 Je, Unapata Shangwe Inayotokana na “Pendeleo la Kutoa kwa Fadhili”?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki