Yaliyomo
Novemba 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Desemba 26, 2011–Januari 1, 2012
“Usitegemee Uelewaji Wako Mwenyewe”
UKURASA WA 6
Januari 2-8, 2012
Tembea Kupatana na Roho ili Upate Uzima na Amani
UKURASA WA 10
Januari 9-15, 2012
“Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu Mwovu
UKURASA 16
Januari 16-22, 2012
Wasaidie Wanaume Wafanye Maendeleo ya Kiroho
UKURASA 24
Januari 23-29, 2012
Wazoeze Wengine ili Wajitahidi Kufikia Mapendeleo
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 6-10
Je, unafaidika kikamili na uandalizi wa sala ambao Mungu ametupatia? Jifunze jinsi ambavyo sala inaweza kukusaidia unapokabili hali zenye kuhuzunisha, unapofanya maamuzi muhimu, au unapojitahidi kushinda vishawishi.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 10-14
Mtume Paulo aliwaambia Wakristo huko Roma mambo waliyopaswa kukazia akili zao ili wapate uzima na amani. Jifunze jinsi unavyoweza kufaidika kutokana na shauri alilowapa.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20
Kama inavyoonyeshwa katika makala hii, wanaume waaminifu wa kale waliishi kama “wakaaji wa muda.” Hivyo ndivyo wafuasi wa mapema wa Yesu walivyoishi. Lakini vipi Wakristo wa kweli leo? Jifunze kile kinachomaanishwa na kuishi kama mkaaji wa muda katika ulimwengu huu mwovu.
MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 24-32
Kuna uhitaji wa wanaume ambao wanaweza kuongoza katika mambo ya kiroho. Yesu aliwasaidia wanaume wengi kukubali habari njema na kisha wakastahili kupata mapendeleo ya utumishi. Kwa kuchunguza njia zake, tutajifunza jinsi tunavyoweza kuwasaidia wanaume tunaokutana nao katika huduma na jinsi tunavyoweza kuwasaidia wanaume waliobatizwa katika kutaniko ili wajitahidi kufikia mapendeleo katika tengenezo la Yehova.
PIA KATIKA TOLEO HILI
15 “Mimi Ni Mlemavu Sasa, Lakini Sitakuwa Mlemavu Milele!”
21 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
22 Je, Unapata Shangwe Inayotokana na “Pendeleo la Kutoa kwa Fadhili”?