Yaliyomo
Desemba 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Januari 30, 2012–Februari 5, 2012
Je, Yeye Ni Mfano Mzuri au Ni Onyo Kwako?
UKURASA WA 8
Februari 6-12, 2012
Kwa Nini Tuongozwe na Roho ya Mungu?
UKURASA WA 13
Februari 13-19, 2012
Waaminifu wa Zamani Waliongozwa na Roho ya Mungu
UKURASA WA 18
Februari 20-26, 2012
Kuongozwa na Roho ya Mungu Katika Karne ya Kwanza na Leo
UKURASA WA 22
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 8-12
Watu fulani wanaotajwa katika Biblia ni mifano mizuri kwetu, lakini wanaweza pia kuwa onyo. Makala hii itatusaidia kumchunguza Sulemani akiwa mfano na onyo kwetu. Tunaweza kujifunza somo gani kutokana naye ambalo litatusaidia kuishi kwa njia ya Kikristo?
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 13-17
Kuna kani yenye nguvu katika ulimwengu ambayo inaweza kutuongoza kwa mafanikio maishani katika ulimwengu huu mwovu. Ni kani gani hiyo, kwa nini tunapaswa kukubali kuongozwa nayo, na tunaweza kufanya nini ili tufaidike kikamili na mwongozo wake?
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 18-26
Watumishi wengi wa Mungu walioishi zamani walijazwa na roho takatifu. Roho ya Mungu ilitenda kazi juu yao kwa njia zipi? Tutatiwa moyo sana katika utumishi wetu tukichunguza jinsi Yehova alivyowaongoza.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Nimethawabishwa kwa Kufanya Mabadiliko
27 Usiruhusu Ugonjwa Ukufanye Upoteze Shangwe Yako
32 Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2011