Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 12/15 uku. 32
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2011

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2011
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 12/15 uku. 32

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2011

Inaonyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Iliandikwa Wakati Gani? 6/1

Inabadili Maisha, 2/1, 4/1, 5/1, 7/1, 8/1, 10/1, 11/1

Je, Unapendezwa na Neno la Mungu? 5/15

Jitihada za Zamora za Kutokeza Maandishi Sahihi, 12/1

Kwa Ajili ya Vijana, 1/1, 3/1, 5/1, 7/1, 9/1, 11/1

Mambo 6 Yaliyotabiriwa katika Biblia Yanatimia Sasa, 5/1

Ni Waandikaji Gani wa Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo Waliokuwapo Pentekoste? 12/1

Nyakati za Siku, 5/1

Olivétan—“Mtafsiri Mnyenyekevu,” 9/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Familia Inavyoweza Kuwa na Furaha, 10/1

Ibada ya Familia, 8/15

‘Ifanikishe Njia Yako,’ 6/15

Je, Wazazi Wawafundishe Watoto Kuhusu Ngono? 11/1

Jinsi Baba Wanavyoweza Kuwa Karibu na Wana, 11/1

Jinsi Watoto Wanavyobadili Ndoa 5/1

Kodi, 9/1

‘Kuendelea Kukesha,’ 10/15

Kujitahidi Kunaleta Faida! (Ibada ya Familia), 2/15

Kumtendea Mwenzi wa Ndoa kwa Heshima, 8/1

“Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu,” 2/15

Kutumia Intaneti, 8/15

Kuwa Kama Finehasi Unapokabili Hali Ngumu, 9/15

Ni Nini Kinachofanya Ndoa Idumu? 2/1

Sitawisheni Mtazamo wa Kiroho Mkiwa Mume na Mke, 11/1

Tafakari Mambo Ambayo Yehova Amekufanyia, 1/15

Tambua Uthibitisho wa Mwongozo wa Mungu, 4/15

Tunawezaje Kuchagua Marafiki Wazuri? 12/1

Tushangilie Pamoja! 10/15

Ukiwa na Swali la Biblia au Tatizo la Kibinafsi, 10/15

Unathamini Baraka Zako? 2/15

Usijidanganye kwa Mawazo Yasiyo ya Kweli, 3/15

Usijitenge Kamwe na Waamini Wenzako, 3/15

Usiruhusu Ugonjwa Ukufanye Upoteze Shangwe Yako, 12/15

Vijana Wanapaswa Kubatizwa? 6/15

Wafundishe Watoto Kuonyesha Heshima, 2/15

Wafundishe Watoto Maadili Mema, 2/1

Wafundishe Watoto Wako, 2/1, 4/1, 6/1, 8/1, 10/1, 12/1

“Wakati wa Kupenda na Wakati wa Kuchukia,” 12/1

Wanyoofu Katika Ulimwengu Usio na Unyoofu, 4/15

MAKALA ZA FUNZO

Familia za Kikristo—‘Kaeni Macho!’ 5/15

Familia za Kikristo—“Endeleeni Kuwa Tayari,” 5/15

Fanya Maamuzi Ambayo Yanamletea Mungu Heshima, 4/15

Fuatilia Amani, 8/15

Heshimu Ndoa kwa Kuwa Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu, 1/15

Je, Tafrija Unayochagua Inakujenga? 10/15

Je, Umeingia Katika Pumziko la Mungu? 7/15

Je, Unachukia Uasi-Sheria? 2/15

Je, Unamfanya Yehova Awe Fungu Lako? 9/15

Je, Unaruhusu Roho ya Mungu Ikuongoze? 4/15

Je, Utafuata Mwongozo wa Yehova Wenye Upendo? 7/15

Je, Utatii Maonyo Yaliyo Wazi Kutoka kwa Yehova? 7/15

Je, Yehova Anakujua? 9/15

Je, Yeye Ni Mfano Mzuri au Ni Onyo Kwako? 12/15

Jinsi Roho Takatifu Ilivyotumiwa Katika Kazi ya Uumbaji! 2/15

Kaa Macho, Kama Yeremia Alivyofanya, 3/15

Kimbia Shindano la Mbio kwa Uvumilivu, 9/15

‘Kimbieni ili Kwamba Mpate Tuzo,’ 9/15

Kuchukua kwa Uzito Wote Utumishi Wetu kwa Yehova, 4/15

Kukubaliwa na Mungu Kunaongoza Kwenye Uzima wa Milele, 2/15

Kumtegemea Yehova Kikamili Kunatuchochea Kuwa na Uhakika, 5/15

Kuna Habari Njema Ambayo Watu Wote Wanahitaji, 6/15

Kuongozwa na Roho ya Mungu Katika Karne ya Kwanza na Leo, 12/15

Kwa Nini Tuongozwe na Roho ya Mungu? 12/15

“Lichungeni Kundi la Mungu Lililo Chini ya Uangalizi Wenu,” 6/15

‘Lo! Jinsi Kilivyo Kina cha Hekima ya Mungu!’ (Ro 11), 5/15

Mashauri ya Hekima Kuhusu Useja na Ndoa, 10/15

Mtegemee Yehova Kadiri Mwisho Unavyokaribia, 3/15

Mtegemee Yehova, “Mungu wa Faraja Yote,” 10/15

Mungu Anapendekeza Upendo Wake Kwetu, 6/15

“Mwatilie Maanani Wale Wanaofanya Kazi kwa Bidii Kati Yenu,” 6/15

Ni Nani Mtu wa Maana Zaidi Katika Maisha Yako? 5/15

‘Pata Kimbilio Katika Jina la Yehova,’ 1/15

Penda Uadilifu kwa Moyo Wako Wote, 2/15

Pokea Roho ya Mungu, Bali Si Roho ya Ulimwengu, 3/15

Pumziko la Mungu Ni Nini? 7/15

Tembea Kupatana na Roho ili Upate Uzima na Amani, 11/15

Tumia Vizuri Kabisa Useja Wako, 1/15

Tunatiwa Nguvu ili Kushinda Jaribu Lolote, 1/15

Tunatiwa Nguvu ili Kushinda Vishawishi na Kutovunjika Moyo, 1/15

‘Tunda la Roho’ Linamtukuza Mungu, 4/15

“Usitegemee Uelewaji Wako Mwenyewe,” 11/15

Uwe Tayari! 3/15

Waaminifu wa Zamani Waliongozwa na Roho ya Mungu, 12/15

‘Wafariji Wote Wanaoomboleza,’ 10/15

“Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu Mwovu, 11/15

Walimngoja Masihi, 8/15

Walimpata Masihi! 8/15

Wasaidie Wanaume Wafanye Maendeleo ya Kiroho, 11/15

Wazoeze Wengine ili Wajitahidi Kufikia Mapendeleo, 11/15

Yehova Ni Fungu Langu, 9/15

Yehova—“Mungu Anayetoa Amani,” 8/15

MAMBO MENGINE

Abrahamu Alikuwa na Ngamia? 6/15

Alifarijiwa na Mungu (Eliya), 7/1

Alivumilia Licha ya Kuvunjwa Moyo (Samweli), 1/1

Aliwatetea Watu wa Mungu (Esta), 10/1

Baraba, 4/1

“Bibi, Naam Mabibi” (Mhu 2:8), 3/15

Bustani ya Edeni, 1/1

Dunia Itakwisha Mwaka wa 2012? 12/1

Gehena Ni Mahali pa Moto wa Mateso? 4/1

“Habari Njema ya Ufalme,” 3/1

Har–Magedoni Ni Nini? 9/1

Je, Kuishi Milele Kutachosha? 5/1

Je, Misiba ya Asili Ni Adhabu Kutoka kwa Mungu? 12/1

Je, Ufalme wa Mungu Ni Hali ya Moyoni Tu? 3/1

Je, Wakristo Wote Waaminifu Wanaenda Mbinguni? 6/1

Jina Kaisari Lina Maana Gani? 7/1

Jinsi Huduma Katika Hekalu Zilivyolipiwa, 11/1

Jinsi Viongozi wa Dini ya Kiyahudi Walivyowaona Watu wa Kawaida, 7/1

Jinsi ya Kuitambua Ibada ya Kweli? 8/1

“Kitambaa Chenye Rangi Nyekundu ya Kochinili,” 12/1

Kucheza Kamari, 3/1

Kufanya Maisha Yako Yawe na Maana, 7/1

“Kuipiga Teke Michokoo” (Mdo 26:14), 8/1

Kuishi Kulingana na Mapato Yako, 6/1

Kujua Saa Wakati wa Usiku, 8/1

Kukusanya Masalio, 2/1

Kupata Maji Katika Israeli Majira ya Ukame, 1/1

Kuwabatiza Watoto Wachanga, 10/1

Kwa Nini Musa Aliwakasirikia Wana wa Haruni (Law 10:16-20), 2/15

Kwa Nini Shetani Alitumia Nyoka, 1/1

Kwa Nini Sulemani Aliagiza Mbao Kutoka Lebanoni? 2/1

‘Leta Vitabu vya Kukunjwa, Vile vya Ngozi,’ 6/15

Majengo ya Nebukadneza, 11/1

Majina Katika Mihuri ya Kale, 5/1

Maoni ya Biblia Kuhusu Ngono, 11/1

“Mazao Saba” ya ile Nchi Nzuri, 9/1

Mitume Wabebe Fimbo na Kuvaa Viatu, 3/15

Mizeituni Ilithaminiwa Sana, 10/1

Mtu Anayekubalika kwa Moyo wa Yehova, 9/1

Mwasia wa Mashariki Katika Italia ya Kale, 1/1

Mwisho wa Umaskini, 6/1

“Nchi Inayotiririka Maziwa na Asali,” 3/1

Ndoa ya Ndugu-Mkwe, 3/1

Ni Nani Anayeutawala Ulimwengu? 9/1

Ni Nani Anayeweza Kufasiri Unabii? 12/1

Ni Uhalifu Gani Ungefanya Mtu Auawe Kama Yesu? 4/1

“Nimeamini” (Martha), 4/1

Nyumba Ambamo Huenda Abramu Aliishi, 1/1

Papa Ndiye ‘Mrithi wa Petro’? 8/1

Pesa (Katika Nyakati za Biblia), 5/1

Petro Alikaa na Mtengenezaji wa Ngozi, 6/1

Sherehe ya Wakfu (Yoh 10:22), 9/1

Tumaini kwa Wafu, 6/1

Ufalme wa Mungu Ni Nini? 7/1

Umejitayarisha kwa Siku Muhimu Zaidi Katika Mwaka? 2/1

“Wale wa Nyumbani mwa Kaisari” (Flp 4:22), 3/1

Watu Waliobadili Pesa Katika Hekalu, 10/1

Yehu Atetea Ibada Safi, 11/15

Yerusalemu Liliharibiwa Mwaka Gani? 10/1, 11/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Barua Kutoka . . . , 3/1, 6/1, 9/1, 12/1

Hesabu Katika Ripoti ya Kila Mwaka, 8/15

Kuhitimu kwa Gileadi, 2/1, 8/1

Makusanyiko ya Wilaya Nchini Urusi, 3/1

Makusanyiko ya Wilaya ya “Ufalme wa Mungu na Uje!” 6/1

Mkutano wa Kila Mwaka, 8/15

“Msimamo wa Ujasiri Unaofanya Tuwaheshimu” (Ujerumani ya Wanazi), 10/1

“Pendeleo la Kutoa kwa Fadhili” (michango), 11/15

Sababu ya Kushangilia (tengenezo), 3/15

Toleo Katika Kiingereza Rahisi (Gazeti la Mnara wa Mlinzi), 7/15

Ushindi wa Kisheria Baada ya Mapambano! (Urusi), 7/15

Wanakubali Matibabu? 2/1

Watetea Jina lao Zuri (Urusi), 5/1

MASIMULIZI YA MAISHA

Kumtumikia Yehova Chini ya Majaribu (M. de Jonge-van den Heuvel), 1/15

Kusoma Biblia Kumenitia Nguvu Maisha Yangu Yote (M. Leroy), 9/15

“Mlemavu Lakini Si Milele!” (S. van der Monde), 11/15

“Mwangalizi Mzuri Ajabu na Rafiki Mpendwa” (J. Barr), 5/15

Ndoto Yaishia Kwenye Kiti cha Magurudumu (Z. Dimitrova), 6/1

Niliogopa Kifo—Sasa Ninangoja ‘Uzima kwa Wingi’ (P. Gatti), 7/15

Nilitaka Kuwa Kama Binti ya Yeftha (J. Soans), 12/1

Nimefurahia Kumtumikia Yehova (F. Rusk), 10/15

Nimepata Mambo Mengi Mazuri (A. Bonno), 4/15

Nimethawabishwa kwa Kufanya Mabadiliko (J. Thompson), 12/15

YEHOVA

Alijua Adamu na Hawa Wangefanya Dhambi? 1/1

Anaona Jamii Moja Kuwa Bora? 7/1

Je, Alimuumba Ibilisi? 3/1

Je, Ana Watu Wanaomtumikia kwa Utaratibu? 6/1

Je, Anakaa Mahali Pamoja? 8/1

Je, Kweli Anakujali? 1/1

Jina Katika Bonde (Uswisi), 1/15

Kusudi Kuelekea Dunia, 4/1

Kwa Nini Aliwalisha Waisraeli Kware? 9/1

Kwa Nini Anaruhusu Uovu na Kuteseka? 5/1

Kwa Nini Ujifunze Kutoka Kwake? 1/1

Mafundisho Matano ya Uwongo Yafunuliwa! 10/1

Mkaribie Mungu, 1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 10/1, 11/1, 12/1

Mungu Ni Nani? 2/1

Sheria Zinazoongoza Ulimwengu, 7/1

Tunafaidika Tukifuata Sheria za Mungu, 11/1

Watoto Wanapaswa Kujifunza Nini? 8/1

YESU KRISTO

Alitoka Wapi? Aliishi Jinsi Gani? Kwa Nini Alikufa? 4/1

Je, Alikufa Juu ya Msalaba? 3/1

Kesi, 4/1

Kumfuata Kristo, Kiongozi Mkamilifu, 5/15

Maneno ya “Wewe Mwenyewe Umesema,” 6/1

Saa Ambayo Alitundikwa Mtini, 11/15

Tunaweza Kujua Hesabu ya Unabii Kumhusu Masihi? 8/15

Yesu Kristo Ni Nani? 3/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki