Yaliyomo
Machi 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO
APRILI 30, 2012-MEI 6, 2012
Wasaidie Watu ‘Waamke Kutoka Katika Usingizi’
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 65, 96
MEI 7-13, 2012
UKURASA WA 15 • NYIMBO: 92, 47
MEI 14-20, 2012
Kushangilia Katika Tumaini Letu
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 129, 134
MEI 21-27, 2012
Usitazame “Mambo Yaliyo Nyuma”
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 119, 17
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 10-19
Mafundisho ya uwongo ya kidini yamewafanya watu wengi wasinzie au walale kabisa kiroho. Makala hizi mbili zinazungumzia jinsi tunavyoweza kuwaamsha watu na kwa nini tunapaswa kufanya hivyo haraka. Pia, jinsi tunavyoweza kudumisha hisi ya uharaka, na maana ya kuhubiri tukiwa na hisi hiyo.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 20-24
Mtume Petro aliandika kwamba Wakristo watiwa-mafuta wana “tumaini lililo hai.” (1 Pet. 1:3) Hilo ni kweli jinsi gani, na jambo hilo linahusianaje na “kondoo wengine”? (Yoh. 10:16) Makala hii itakusaidia kuona kwa nini unapaswa kushangilia katika tumaini lako na kutazamia kwa hamu kutimizwa kwa tumaini hilo.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 25-29
Yesu alitoa onyo hili: “Mkumbukeni mke wa Loti.” (Luka 17:32) Yesu alimaanisha nini alipotoa onyo hilo? Makala hii itatusaidia kutambua mambo matatu ambayo huenda tukahitaji kufanya ili kutii onyo hilo. Ona ikiwa unahitaji kukazia uangalifu jambo moja au zaidi katika maisha yako.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 “Kuna Uzuri Upande wa Mkono Wako wa Kuume Milele”
30 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
32 “Je, Unaweza Tafadhali Kutupiga Picha?”
JALADA: Vijana wengi Mashahidi huko Malawi wamewaambia wanafunzi wenzao kuhusu habari zenye kupendeza na zinazonufaisha kutoka katika kitabu Vijana Huuliza
MALAWI
IDADI YA WATU
13,077,160
WAHUBIRI
79,157
UJENZI WA MAJUMBA YA UFALME
1,031 kuanzia 1998