Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 3/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 3/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Machi 15, 2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO

APRILI 30, 2012-MEI 6, 2012

Wasaidie Watu ‘Waamke Kutoka Katika Usingizi’

UKURASA WA 10 • NYIMBO: 65, 96

MEI 7-13, 2012

Dumisha Hisi Yako ya Uharaka

UKURASA WA 15 • NYIMBO: 92, 47

MEI 14-20, 2012

Kushangilia Katika Tumaini Letu

UKURASA WA 20 • NYIMBO: 129, 134

MEI 21-27, 2012

Usitazame “Mambo Yaliyo Nyuma”

UKURASA WA 25 • NYIMBO: 119, 17

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 10-19

Mafundisho ya uwongo ya kidini yamewafanya watu wengi wasinzie au walale kabisa kiroho. Makala hizi mbili zinazungumzia jinsi tunavyoweza kuwaamsha watu na kwa nini tunapaswa kufanya hivyo haraka. Pia, jinsi tunavyoweza kudumisha hisi ya uharaka, na maana ya kuhubiri tukiwa na hisi hiyo.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 20-24

Mtume Petro aliandika kwamba Wakristo watiwa-mafuta wana “tumaini lililo hai.” (1 Pet. 1:3) Hilo ni kweli jinsi gani, na jambo hilo linahusianaje na “kondoo wengine”? (Yoh. 10:16) Makala hii itakusaidia kuona kwa nini unapaswa kushangilia katika tumaini lako na kutazamia kwa hamu kutimizwa kwa tumaini hilo.

MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 25-29

Yesu alitoa onyo hili: “Mkumbukeni mke wa Loti.” (Luka 17:32) Yesu alimaanisha nini alipotoa onyo hilo? Makala hii itatusaidia kutambua mambo matatu ambayo huenda tukahitaji kufanya ili kutii onyo hilo. Ona ikiwa unahitaji kukazia uangalifu jambo moja au zaidi katika maisha yako.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 “Kuna Uzuri Upande wa Mkono Wako wa Kuume Milele”

7 Wewe Hutoaje Shauri?

30 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

32 “Je, Unaweza Tafadhali Kutupiga Picha?”

JALADA: Vijana wengi Mashahidi huko Malawi wamewaambia wanafunzi wenzao kuhusu habari zenye kupendeza na zinazonufaisha kutoka katika kitabu Vijana Huuliza

MALAWI

IDADI YA WATU

13,077,160

WAHUBIRI

79,157

UJENZI WA MAJUMBA YA UFALME

1,031 kuanzia 1998

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki