Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 5/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 5/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Mei 15, 2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO

JULAI 2-8, 2012

Je, Kweli Unathamini Zawadi ya Mungu ya Ndoa?

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 87, 75

JULAI 9-15, 2012

Uwe na Maoni Yanayofaa Kuhusu Ndoa Yenye Matatizo

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 36, 69

JULAI 16-22, 2012

Mtegemee Yehova—Mungu wa “Nyakati na Majira”

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 116, 135

JULAI 23-29, 2012

Je, Unatoa Mrudisho wa Utukufu wa Yehova?

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 93, 89

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 3-12

Makala hizi zinatoa sababu nzuri za kutumia mashauri ya Yehova kuhusu ndoa. Zitatusaidia kuthamini zaidi ndoa ambayo ni zawadi kutoka kwa Mungu. Isitoshe, zinaonyesha kwa nini ni muhimu tuwe na maoni yanayofaa kuhusu ndoa yenye matatizo na zinaonyesha jinsi kutumia mashauri ya Kimaandiko kunavyoweza kufanya ndoa iwe na furaha.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 17-21

Makala hii inachunguza njia ambazo zinaonyesha kwamba Yehova ni Mtunza-Wakati Mkuu. Funzo hili litaimarisha imani yetu katika Yehova na katika Neno lake, Biblia. Litaimarisha pia azimio letu la kutumia wakati wetu kwa hekima tunapongojea kwa uhakika kuokolewa na Yehova.

MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 23-27

Ingawa tunampenda Mungu, sisi si wakamilifu. Hata hivyo, tunatamani kudhihirisha utukufu wa Yehova. Makala hii inaeleza jinsi tunavyoweza kufanya hivyo. Inaonyesha jambo ambalo ni lazima tufanye ili tumwige Mungu na kumpendeza. (Efe. 5:1) Inaonyesha pia jinsi tunavyoweza kuendelea kumtukuza.

PIA KATIKA TOLEO HILI

13 Nilivutiwa na Watu Wazee Wenye Hekima

22 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

28 “Jihadharini na Chachu ya Mafarisayo”

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Kwenye maegesho ya malori huko Toulouse, Ufaransa, wenzi wa ndoa mapainia wanawahubiria madereva wa malori. Malori zaidi ya 1,800 kutoka katika nchi mbalimbali za Ulaya yanapitia katika jiji hili kila siku

UFARANSA

IDADI YA WATU

62,787,000

WAHUBIRI

120,172

ONGEZEKO LA MAPAINIA MUDA WA MIAKA 5 ILIYOPITA:

Asilimia 119

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki