Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 6/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • Kwa Nini Tutangulize Utumishi wa Yehova?
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 6/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Juni 15, 2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO

JULAI 30, 2012-AGOSTI 5, 2012

Yehova Ni “Mfunuaji wa Siri”

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 114, 117

AGOSTI 6-12, 2012

Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi”

UKURASA WA 14 • NYIMBO: 116, 54

AGOSTI 13-19, 2012

Kwa Nini Tutangulize Utumishi wa Yehova?

UKURASA WA 20 • NYIMBO: 66, 103

AGOSTI 20-26, 2012

‘Waliongozwa na Roho Takatifu’

UKURASA WA 25 • NYIMBO: 37, 95

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-18

Ni unabii gani mbalimbali wa Biblia unaoweza kukusaidia kuelewa mambo ambayo yatatukia wakati ujao katika mandhari ya ulimwengu? Makala hizi mbili zitachunguza unabii wa ile sanamu kubwa sana katika Danieli sura ya 2 na unabii kuhusu yule mnyama-mwitu na sanamu yake katika Ufunuo sura ya 13 na 17. Tazama mambo muhimu ambayo Biblia inasema kuhusu wakati ujao.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 20-24

Mtu anayejitoa ili abatizwe na kuwa Mkristo anakubali kutanguliza masilahi ya Mungu maishani mwake. Kutafakari juu ya maamuzi yaliyofanywa na watumishi waliojitoa kwa Yehova katika nyakati za Biblia kunaweza kututia moyo tuchunguze jinsi tunavyotumia wakati, nguvu, na mali zetu.

MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 25-29

Makala hii inaonyesha jinsi manabii na waandikaji wa Biblia “walivyoongozwa na roho takatifu” na kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Mungu ndiye chanzo cha Biblia. (2 Pet. 1:21) Makala hii inazungumzia pia mambo ambayo yatatusaidia kuendelea kuithamini Biblia.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 “Siri” Tuliyojifunza Kutokana na Utumishi Wetu Mtakatifu

12 Wafalme Wanane Wafunuliwa

19 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

30 Uwe Mwenye Hekima​—Tafuta “Mwongozo Stadi”

32 Fadhili Huondoa Uchungu

JALADA: Ili kuwahubiria watu wengi iwezekanavyo, ushahidi unatolewa katika maeneo mengi na hali mbalimbali. Hilo linatia ndani soko hili linaloelea majini huko Damnoen Saduak.

THAILAND

IDADI YA WATU

66,720,000

WAHUBIRI

3,423

MAPAINIA WA KAWAIDA

824

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki