Yaliyomo
Juni 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO
JULAI 30, 2012-AGOSTI 5, 2012
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 114, 117
AGOSTI 6-12, 2012
Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi”
UKURASA WA 14 • NYIMBO: 116, 54
AGOSTI 13-19, 2012
Kwa Nini Tutangulize Utumishi wa Yehova?
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 66, 103
AGOSTI 20-26, 2012
‘Waliongozwa na Roho Takatifu’
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 37, 95
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-18
Ni unabii gani mbalimbali wa Biblia unaoweza kukusaidia kuelewa mambo ambayo yatatukia wakati ujao katika mandhari ya ulimwengu? Makala hizi mbili zitachunguza unabii wa ile sanamu kubwa sana katika Danieli sura ya 2 na unabii kuhusu yule mnyama-mwitu na sanamu yake katika Ufunuo sura ya 13 na 17. Tazama mambo muhimu ambayo Biblia inasema kuhusu wakati ujao.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 20-24
Mtu anayejitoa ili abatizwe na kuwa Mkristo anakubali kutanguliza masilahi ya Mungu maishani mwake. Kutafakari juu ya maamuzi yaliyofanywa na watumishi waliojitoa kwa Yehova katika nyakati za Biblia kunaweza kututia moyo tuchunguze jinsi tunavyotumia wakati, nguvu, na mali zetu.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 25-29
Makala hii inaonyesha jinsi manabii na waandikaji wa Biblia “walivyoongozwa na roho takatifu” na kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Mungu ndiye chanzo cha Biblia. (2 Pet. 1:21) Makala hii inazungumzia pia mambo ambayo yatatusaidia kuendelea kuithamini Biblia.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 “Siri” Tuliyojifunza Kutokana na Utumishi Wetu Mtakatifu
19 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
30 Uwe Mwenye Hekima—Tafuta “Mwongozo Stadi”
JALADA: Ili kuwahubiria watu wengi iwezekanavyo, ushahidi unatolewa katika maeneo mengi na hali mbalimbali. Hilo linatia ndani soko hili linaloelea majini huko Damnoen Saduak.
THAILAND
IDADI YA WATU
66,720,000
WAHUBIRI
3,423
MAPAINIA WA KAWAIDA
824