Yaliyomo
Julai 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO
AGOSTI 27, 2012–SEPTEMBA 2, 2012
Acha Yehova Akuongoze Kupata Uhuru wa Kweli
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 107, 27
SEPTEMBA 3-9, 2012
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 120, 129
SEPTEMBA 10-16, 2012
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 33, 45
SEPTEMBA 17-23, 2012
“Yehova Mmoja” Anaikusanya Familia Yake
UKURASA WA 27 • NYIMBO: 53, 124
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-16
Yehova anataka viumbe wake wote wenye akili wafurahie uhuru mwingi iwezekanavyo. Katika makala hizi, ona jinsi anavyotufundisha kuwa watu huru. Ona pia jinsi Shetani anavyojaribu kutunyang’anya uhuru wetu kwa kutushawishi tutafute ule unaoitwa eti uhuru wa ulimwengu.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 22-26
Kwa nini tunaendelea kwa ujasiri na kazi yetu ya kuhubiri licha ya kwamba tunakabili upinzani na hali za kiuchumi zinazozidi kuzorota? Sababu nyingi zimetajwa katika Zaburi ya 27, ambayo ndiyo msingi wa makala hii
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 27-31
Usimamizi wa mambo wa Mungu unafanya kazi leo. Kuchunguza sehemu fulani za barua ya Paulo kwa Waefeso kutatusaidia kuelewa kusudi la usimamizi huo na kufanya kazi kupatana nao.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Ekuado
17 Yehova Alinifundisha Kufanya Mapenzi Yake
JALADA: Kuhubiri habari njema katika Lugha ya Ishara ya Brazili kwenye jiji la Rio de Janeiro huko Comunidade da Rocinha
ENEO LA LUGHA YA ISHARA YA BRAZILI
MAKUTANIKO
358
VIKUNDI
460
MIZUNGUKO
18