Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 10/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 10/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Oktoba 15, 2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

Toleo La Funzo

MAKALA ZA FUNZO

NOVEMBA 26, 2012–DESEMBA 2, 2012

Kukabiliana na Matatizo ya Leo kwa Ujasiri

UKURASA 7 • NYIMBO: 81, 33

DESEMBA 3-9, 2012

Ni Roho ya Aina Gani Unayoonyesha?

UKURASA 12 • NYIMBO: 122, 124

DESEMBA 10-16, 2012

Mtii Mungu Ili Ufaidike Kutokana na Ahadi Zake Zenye Kiapo

UKURASA 22 • NYIMBO: 129, 95

DESEMBA 17-23, 2012

Acheni Ndiyo Yenu Imaanishe Ndiyo

UKURASA 27 • NYIMBO: 63, 125

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 7-11

Tunaishi wakati wenye matatizo makubwa. Makala hii itatusaidia kujifunza kutokana na mifano ya watu walioishi zamani na wanaoishi sasa ambao wamekabili hali ngumu. Itatuonyesha pia jinsi tunavyoweza kuwa jasiri na kuwa na maoni yanayofaa hata tukikabili hali yoyote ile.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 12-16

Ulimwengu wa leo umejaa roho ambayo inabomoa badala ya kujenga. Katika makala hii, jifunze jinsi ya kuepuka mitazamo na matendo yanayodhuru kutaniko na jinsi ya kusitawisha roho inayotusaidia kudumisha mahusiano mazuri pamoja na wengine.

MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 22-31

Makala ya kwanza inazungumzia ahadi zenye thamani ambazo Mungu ameapa kutimiza. Ili tufaidike na ahadi hizo, ni lazima tumtii Mungu na kutimiza ahadi zetu. Makala ya pili inazungumzia mifano ya wanadamu ambao wameacha Ndiyo yao imaanishe Ndiyo na inawahimiza Wakristo waliobatizwa watimize Ndiyo yao iliyo muhimu zaidi.​—Mt. 5:37.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Brazili

17 Wamekuwa Marafiki kwa Miaka 60 na Ni Kama Urafiki wao Umeanza Tu

32 Kitia-Moyo “Kutoka Katika Kinywa cha Watoto”

JALADA: Wenzi wa ndoa mapainia wanatoa ushahidi kwenye eneo lenye watu wengi jijini. Wanatumia vifaa vya kuonyeshea machapisho vyenye magurudumu

TIMES SQUARE, MANHATTAN, JIJI LA NEW YORK

600

MAPAINIA WANAHUBIRI KATIKA MAENEO

12

HUKO MANHATTAN

55

JUMLA YA MAKUTANIKO KATIKA MANHATTAN

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki