Yaliyomo
Oktoba 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo La Funzo
MAKALA ZA FUNZO
NOVEMBA 26, 2012–DESEMBA 2, 2012
Kukabiliana na Matatizo ya Leo kwa Ujasiri
UKURASA 7 • NYIMBO: 81, 33
DESEMBA 3-9, 2012
Ni Roho ya Aina Gani Unayoonyesha?
UKURASA 12 • NYIMBO: 122, 124
DESEMBA 10-16, 2012
Mtii Mungu Ili Ufaidike Kutokana na Ahadi Zake Zenye Kiapo
UKURASA 22 • NYIMBO: 129, 95
DESEMBA 17-23, 2012
Acheni Ndiyo Yenu Imaanishe Ndiyo
UKURASA 27 • NYIMBO: 63, 125
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 7-11
Tunaishi wakati wenye matatizo makubwa. Makala hii itatusaidia kujifunza kutokana na mifano ya watu walioishi zamani na wanaoishi sasa ambao wamekabili hali ngumu. Itatuonyesha pia jinsi tunavyoweza kuwa jasiri na kuwa na maoni yanayofaa hata tukikabili hali yoyote ile.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 12-16
Ulimwengu wa leo umejaa roho ambayo inabomoa badala ya kujenga. Katika makala hii, jifunze jinsi ya kuepuka mitazamo na matendo yanayodhuru kutaniko na jinsi ya kusitawisha roho inayotusaidia kudumisha mahusiano mazuri pamoja na wengine.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 22-31
Makala ya kwanza inazungumzia ahadi zenye thamani ambazo Mungu ameapa kutimiza. Ili tufaidike na ahadi hizo, ni lazima tumtii Mungu na kutimiza ahadi zetu. Makala ya pili inazungumzia mifano ya wanadamu ambao wameacha Ndiyo yao imaanishe Ndiyo na inawahimiza Wakristo waliobatizwa watimize Ndiyo yao iliyo muhimu zaidi.—Mt. 5:37.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Brazili
17 Wamekuwa Marafiki kwa Miaka 60 na Ni Kama Urafiki wao Umeanza Tu
32 Kitia-Moyo “Kutoka Katika Kinywa cha Watoto”
JALADA: Wenzi wa ndoa mapainia wanatoa ushahidi kwenye eneo lenye watu wengi jijini. Wanatumia vifaa vya kuonyeshea machapisho vyenye magurudumu
TIMES SQUARE, MANHATTAN, JIJI LA NEW YORK
600
MAPAINIA WANAHUBIRI KATIKA MAENEO
12
HUKO MANHATTAN
55
JUMLA YA MAKUTANIKO KATIKA MANHATTAN