Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 11/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 11/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Novemba 15, 2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

Toleo La Funzo

MAKALA ZA FUNZO

DESEMBA 24-30, 2012

“Unifundishe Kufanya Mapenzi Yako”

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 69, 120

DESEMBA 31, 2012–JANUARI 6, 2013

Yesu Aliweka Kielelezo cha Unyenyekevu

UKURASA WA 10 • NYIMBO: 84, 82

JANUARI 7-13, 2013

Sitawisha ile Roho ya Aliye Mdogo Zaidi

UKURASA WA 15 • NYIMBO: 26, 68

JANUARI 14-20, 2013

Msamaha wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?

UKURASA WA 21 • NYIMBO: 67, 91

JANUARI 21-27, 2013

Msameheane kwa Hiari

UKURASA WA 26 • NYIMBO: 77, 118

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7

Mfalme Daudi wa taifa la kale la Israeli aliliheshimu sana jina na kusudi la Yehova. Alithamini pia kanuni zilizotegemeza Sheria ya Mungu naye akasali ili afundishwe kufanya mapenzi ya Mungu, kama makala hii inavyoonyesha. Makala hii inatusaidia pia kuelewa kwa nini tunapaswa sikuzote kuona mambo kama Yehova anavyoyaona.

MAKALA YA 2 NA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 10-19

Wakiwa wafuasi wa Yesu, Wakristo wa kweli wanatambua uhitaji wa kuwa wanyenyekevu. Makala ya kwanza inachunguza kielelezo cha unyenyekevu ambacho Yesu alituwekea ili tufuate hatua zake kwa ukaribu. Makala ya pili inaonyesha jinsi tunavyoweza kusitawisha roho ya aliye mdogo na kudhihirisha sifa hiyo maishani mwetu.

MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 21-30

Makala hizi zitatusaidia kuthamini utayari wa Yehova wa kusamehe hata dhambi nzito sana. Huenda nyakati nyingine hali zikafanya iwe vigumu kwetu kuwa tayari kusamehe. Hata hivyo, kanuni za Kimaandiko zinaweza kutusaidia kushinda hisia zisizofaa katika jambo hilo.

PIA KATIKA TOLEO HILI

8 Ziada Yao Ilijazia Upungufu

20 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Kuhubiri katika mji mdogo wa mashambani wa Albarracín, katikati mwa Hispania. Kutaniko la Teruel ambalo lina wahubiri 78, linahubiri huko Albarracín na katika miji na vijiji vingine 188

HISPANIA

IDADI YA WATU

47,042,900

WAHUBIRI

111,101

HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2012

192,942

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki