Yaliyomo
Novemba 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo La Funzo
MAKALA ZA FUNZO
DESEMBA 24-30, 2012
“Unifundishe Kufanya Mapenzi Yako”
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 69, 120
DESEMBA 31, 2012–JANUARI 6, 2013
Yesu Aliweka Kielelezo cha Unyenyekevu
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 84, 82
JANUARI 7-13, 2013
Sitawisha ile Roho ya Aliye Mdogo Zaidi
UKURASA WA 15 • NYIMBO: 26, 68
JANUARI 14-20, 2013
Msamaha wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
UKURASA WA 21 • NYIMBO: 67, 91
JANUARI 21-27, 2013
UKURASA WA 26 • NYIMBO: 77, 118
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7
Mfalme Daudi wa taifa la kale la Israeli aliliheshimu sana jina na kusudi la Yehova. Alithamini pia kanuni zilizotegemeza Sheria ya Mungu naye akasali ili afundishwe kufanya mapenzi ya Mungu, kama makala hii inavyoonyesha. Makala hii inatusaidia pia kuelewa kwa nini tunapaswa sikuzote kuona mambo kama Yehova anavyoyaona.
MAKALA YA 2 NA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 10-19
Wakiwa wafuasi wa Yesu, Wakristo wa kweli wanatambua uhitaji wa kuwa wanyenyekevu. Makala ya kwanza inachunguza kielelezo cha unyenyekevu ambacho Yesu alituwekea ili tufuate hatua zake kwa ukaribu. Makala ya pili inaonyesha jinsi tunavyoweza kusitawisha roho ya aliye mdogo na kudhihirisha sifa hiyo maishani mwetu.
MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 21-30
Makala hizi zitatusaidia kuthamini utayari wa Yehova wa kusamehe hata dhambi nzito sana. Huenda nyakati nyingine hali zikafanya iwe vigumu kwetu kuwa tayari kusamehe. Hata hivyo, kanuni za Kimaandiko zinaweza kutusaidia kushinda hisia zisizofaa katika jambo hilo.
PIA KATIKA TOLEO HILI
20 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale
JALADA: Kuhubiri katika mji mdogo wa mashambani wa Albarracín, katikati mwa Hispania. Kutaniko la Teruel ambalo lina wahubiri 78, linahubiri huko Albarracín na katika miji na vijiji vingine 188
HISPANIA
IDADI YA WATU
47,042,900
WAHUBIRI
111,101
HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2012
192,942