Yaliyomo
Desemba 15, 2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO
JANUARI 28, 2013–FEBRUARI 3, 2013
Jinsi Unavyoweza Kupata Mafanikio ya Kweli ya Maishani
UKURASA WA 4 • NYIMBO: 115, 45
FEBRUARI 4-10, 2013
Wewe Ni Msimamizi-Nyumba Mwenye Kutegemeka!
UKURASA WA 9 • NYIMBO: 62, 125
FEBRUARI 11-17, 2013
Kudumisha Msimamo Wetu Tukiwa “Wakaaji wa Muda”
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 107, 40
FEBRUARI 18-24, 2013
“Wakaaji wa Muda” Waungana Katika Ibada ya Kweli
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 124, 121
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 4-13
Kufanikiwa kikweli maishani kunamaanisha nini? Makala hizi zinaonyesha kwamba jibu sahihi halipatani na maoni ya ulimwengu kuhusu jambo hilo. Tutaona pia kwamba ili tufanikiwe kikweli, ni lazima tuendelee kuwa waaminifu kwa Mungu na kukubali majukumu anayotupatia.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 19-28
Wakristo watiwa-mafuta, na kwa kadiri fulani “kondoo wengine” wanaoshirikiana nao, ni “wakaaji wa muda” jinsi gani? (Yoh. 10:16; 1 Pet. 2:11) Makala hizi zitajibu swali hilo na kuimarisha azimio letu la kuendelea kuwa wakaaji wa muda, huku tukihubiri kwa umoja tukiwa sehemu ya undugu wa ulimwenguni pote.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Jihadhari Usitumie Biblia Kishirikina
14 Maswali Kutoka Kwa Wasomaji
29 Kwa Nini Mnara wa Mlinzi Uliorahisishwa—Ulianzishwa?
32 Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2012
JALADA: Kuna Mashahidi zaidi ya 100,000 Korea Kusini. Wengi wao wamefungwa gerezani kwa sababu ya msimamo wao thabiti wa kutojihusisha na siasa na kukataa kuchukua silaha kuwadhuru wanadamu wenzao. Hata wakiwa gerezani, wanajitahidi kutoa ushahidi mzuri kwa kuandika barua
KOREA KUSINI
IDADI YA WATU
48,184,000
WAHUBIRI
100,059
NDUGU WALIOFUNGWA GEREZANI MWAKA ULIOPITA
731
KILA MWEZI WALIHUBIRI SAA
9,000