Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 1/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 1/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Januari 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

TOLEO LA FUNZO

FEBRUARI 25, 2013–MACHI 3, 2013

Uwe Hodari—Yehova Yupo Pamoja Nawe!

UKURASA WA 7 • WIMBO: 60, 23

MACHI 4-10, 2013

Usiruhusu Kitu Chochote Kikutenganishe na Yehova

UKURASA WA 12 • WIMBO: 106, 51

MACHI 11-17, 2013

Endelea Kumkaribia Yehova

UKURASA WA 17 • WIMBO: 52, 65

MACHI 18-24, 2013

Kumtumikia Mungu Bila Majuto

UKURASA WA 22 • WIMBO: 91, 39

MACHI 25-31, 2013

Wazee Wakristo Ni ‘Wafanyakazi Wenzi kwa Shangwe Yetu’

UKURASA WA 27 • WIMBO: 123, 53

MAKALA ZA FUNZO

▪ Uwe Hodari—Yehova Yupo Pamoja Nawe!

Watu wengi wanaotajwa katika Maandiko walionyesha imani na uhodari. Kwa kuchunguza mambo fulani waliyokabili, tutaimarishwa ili tuonyeshe imani na kumtumikia Yehova kwa uhodari. Mazungumzo haya yanakazia andiko letu la mwaka wa 2013.

▪ Usiruhusu Kitu Chochote Kikutenganishe na Yehova

▪ Endelea Kumkaribia Yehova

Kuna mambo mengi maishani ambayo hatuwezi kuchagua, kama vile wazazi wetu, ndugu na dada zetu, na mahali pa kuzaliwa. Uhusiano wetu na Yehova ni tofauti. Tunaweza kuchagua kuwa au kutokuwa na uhusiano wa karibu pamoja naye. Makala hizi zitazungumzia sehemu saba maishani ambazo hatupaswi kuruhusu chochote kitutenganishe na Yehova.

▪ Kumtumikia Mungu Bila Majuto

Sisi sote tumewahi kufanya mambo ambayo tunahisi kwamba ikiwa tungepata fursa nyingine tungeyafanya kwa njia tofauti. Hata hivyo, hatupaswi kuruhusu majuto hayo yatuzuie tusimtumikie Mungu. Katika makala hii, tutajifunza kupitia mfano wa mtume Paulo jinsi tunavyoweza kuendelea kumtumikia Yehova bila majuto.

▪ Wazee Wakristo Ni ‘Wafanyakazi Wenzi kwa Shangwe Yetu’

Katika barua yake ya pili kwa Wakorintho, Paulo aliwaambia kwamba yeye na washiriki wenzake wa karibu walikuwa ‘wafanyakazi wenzi kwa shangwe yao.’ (2 Kor. 1:24) Maneno hayo ya Paulo yanapaswa kuwachocheaje hasa wazee Wakristo? Na kila mmoja wetu anawezaje kuongeza roho ya shangwe kutanikoni? Majibu ya maswali hayo yatazungumziwa katika makala hii.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari​—Nchini Norway

32 Kampeni Iliyopangwa Vizuri Yafanikiwa

JALADA: Wenzi wa ndoa waliostaafu wanaongoza funzo la Biblia kwenye veranda ya nyumba huko Camp Perrin. Baadhi ya Wahaiti waliokuwa wakiishi nchi za ng’ambo, kama wenzi hawa wa ndoa, wanarudi katika nchi yao ili watumikie mahali penye uhitaji mkubwa zaidi

HAITI

NCHINI HAITI, KILA MHUBIRI ANAHITAJI KUWAHUBIRIA WATU

557

WAHUBIRI

17,954

WANAONGOZA MAFUNZO YA BIBLIA

35,735

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki