Yaliyomo
Januari 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
TOLEO LA FUNZO
FEBRUARI 25, 2013–MACHI 3, 2013
Uwe Hodari—Yehova Yupo Pamoja Nawe!
UKURASA WA 7 • WIMBO: 60, 23
MACHI 4-10, 2013
Usiruhusu Kitu Chochote Kikutenganishe na Yehova
UKURASA WA 12 • WIMBO: 106, 51
MACHI 11-17, 2013
UKURASA WA 17 • WIMBO: 52, 65
MACHI 18-24, 2013
UKURASA WA 22 • WIMBO: 91, 39
MACHI 25-31, 2013
Wazee Wakristo Ni ‘Wafanyakazi Wenzi kwa Shangwe Yetu’
UKURASA WA 27 • WIMBO: 123, 53
MAKALA ZA FUNZO
▪ Uwe Hodari—Yehova Yupo Pamoja Nawe!
Watu wengi wanaotajwa katika Maandiko walionyesha imani na uhodari. Kwa kuchunguza mambo fulani waliyokabili, tutaimarishwa ili tuonyeshe imani na kumtumikia Yehova kwa uhodari. Mazungumzo haya yanakazia andiko letu la mwaka wa 2013.
▪ Usiruhusu Kitu Chochote Kikutenganishe na Yehova
▪ Endelea Kumkaribia Yehova
Kuna mambo mengi maishani ambayo hatuwezi kuchagua, kama vile wazazi wetu, ndugu na dada zetu, na mahali pa kuzaliwa. Uhusiano wetu na Yehova ni tofauti. Tunaweza kuchagua kuwa au kutokuwa na uhusiano wa karibu pamoja naye. Makala hizi zitazungumzia sehemu saba maishani ambazo hatupaswi kuruhusu chochote kitutenganishe na Yehova.
▪ Kumtumikia Mungu Bila Majuto
Sisi sote tumewahi kufanya mambo ambayo tunahisi kwamba ikiwa tungepata fursa nyingine tungeyafanya kwa njia tofauti. Hata hivyo, hatupaswi kuruhusu majuto hayo yatuzuie tusimtumikie Mungu. Katika makala hii, tutajifunza kupitia mfano wa mtume Paulo jinsi tunavyoweza kuendelea kumtumikia Yehova bila majuto.
▪ Wazee Wakristo Ni ‘Wafanyakazi Wenzi kwa Shangwe Yetu’
Katika barua yake ya pili kwa Wakorintho, Paulo aliwaambia kwamba yeye na washiriki wenzake wa karibu walikuwa ‘wafanyakazi wenzi kwa shangwe yao.’ (2 Kor. 1:24) Maneno hayo ya Paulo yanapaswa kuwachocheaje hasa wazee Wakristo? Na kila mmoja wetu anawezaje kuongeza roho ya shangwe kutanikoni? Majibu ya maswali hayo yatazungumziwa katika makala hii.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Norway
32 Kampeni Iliyopangwa Vizuri Yafanikiwa
JALADA: Wenzi wa ndoa waliostaafu wanaongoza funzo la Biblia kwenye veranda ya nyumba huko Camp Perrin. Baadhi ya Wahaiti waliokuwa wakiishi nchi za ng’ambo, kama wenzi hawa wa ndoa, wanarudi katika nchi yao ili watumikie mahali penye uhitaji mkubwa zaidi
HAITI
NCHINI HAITI, KILA MHUBIRI ANAHITAJI KUWAHUBIRIA WATU
557
WAHUBIRI
17,954
WANAONGOZA MAFUNZO YA BIBLIA
35,735