Yaliyomo
Februari 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. All rights reserved.
TOLEO LA FUNZO
APRILI 1-7, 2013
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 69, 28
APRILI 8-14, 2013
Je, Unathamini Urithi Wetu wa Kiroho?
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 22, 75
APRILI 15-21, 2013
Kaa Katika Bonde la Yehova la Ulinzi
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 133, 16
APRILI 22-28, 2013
Usiruhusu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 15, 61
MAKALA ZA FUNZO
▪ Huu Ni Urithi Wetu wa Kiroho
▪ Je, Unathamini Urithi Wetu wa Kiroho?
Mambo muhimu ya urithi mwingi wa kiroho wa watu wa Yehova yamezungumziwa katika makala hizi. Makala hizi zinaonyesha jinsi ambavyo Mungu amelihifadhi Neno lake, amewabariki wanaolitumia jina lake, na amefanya iwezekane kuhifadhi kweli za kiroho zinazotulinda kutokana na uwongo wa kidini.
▪ Kaa Katika Bonde la Yehova la Ulinzi
Makala hii inaeleza ni bonde gani la ulinzi linalotajwa kwenye Zekaria 14:4 na inaonyesha kwa nini tunapaswa kubaki katika bonde hilo. Inaeleza maana ya maji yaliyo hai yanayorejelewa kwenye Zekaria 14:8 na kunywa maji hayo kunaweza kumaanisha nini kwetu.
▪ Usiruhusu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu
Makala hii inaonyesha jinsi tunavyoweza kupata utukufu ambao Yehova huwapa wanadamu. Pia, inaeleza mambo yanayoweza kutuzuia kupata utukufu huo na jinsi jitihada zetu za kuendelea kupata utukufu zinavyoweza kuwasaidia wengine.
PIA KATIKA TOLEO HILI
13 Walinzi wa Mfalme Wahubiriwa
22 Jihadhari na Makusudio ya Moyo
30 Alikuwa wa Familia ya Kayafa
31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale
JALADA: Mhubiri huko kaskazini-magharibi mwa Namibia akimhubiria mwanamke Mhimba. Wanawake Wahimba ambao ni wa kabila la wafugaji wa ng’ombe wanaohamahama, hupaka nywele na ngozi zao mchanganyiko unaotia ndani udongo mwekundu unaotokana na mawe yaliyosagwa
NAMIBIA
IDADI YA WATU
2,373,000
WAHUBIRI
2,040
MAFUNZO YA BIBLIA
4,192