Yaliyomo
Aprili 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zore zimehifadhiwa.
TOLEO LA FUNZO
JUNI 3-9, 2013
Pata Manufaa Kamili Kwa Kusoma Biblia
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 114, 113
JUNI 10-16, 2013
Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine Kwa Kutumia Neno la Mungu
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 37, 92
JUNI 17-23, 2013
“Mhakikishe Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi”
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 70, 98
JUNI 24-30, 2013
UKURASA WA 27 • NYIMBO: 129, 63
MAKALA ZA FUNZO
▪ Pata Manufaa Kamili kwa Kusoma Biblia
▪ Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa Kutumia Neno la Mungu
Paulo aliandika kwamba “neno la Mungu liko hai nalo lina nguvu.” (Ebr. 4:12) Lakini nguvu hizo zitatunufaisha tu ikiwa tutajifunza na kufuata mafundisho ya Neno la Mungu lililoongozwa na roho takatifu. Makala hizi zinakazia njia nzuri ya kujifunza Biblia na zinaonyesha jinsi tunavyoweza kuruhusu hekima ya Mungu ituongoze katika huduma yetu na katika maisha yetu binafsi.
▪ “Mhakikishe Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi”
▪ ‘Usichoke Kabisa’
Tuna pendeleo la kuwa sehemu ya tengenezo la Mungu lenye kustaajabisha sana la ulimwenguni pote. Hata hivyo, tunawezaje kuunga mkono kikamili kazi inayotimizwa na tengenezo hilo? Ni nini kitakachotusaidia kusonga pamoja na tengenezo la Yehova na kutochoka kabisa? Makala hizi zitaeleza.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Walijitoa Wenyewe Kwa Hiari Nchini—Mexico
17 Miaka Hamsini ya Utumishi wa Wakati Wote Karibu na Mzingo wa Aktiki
32 Je, Wajua?
JALIDA: Katika makutaniko mengi, akina ndugu hukutana saa 1:30 asubuhi, au mapema zaidi, ili wahubiri. Wanatumia kila fursa wanayopata kuwahubiria watu barabarani
NEPAL
IDADI YA WATU
26,620,809
WAHUBIRI
1,667
MAFUNZO YA BIBLIA
3,265