Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 5/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 5/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Mei 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

TOLEO LA FUNZO

JULAI 1-7, 2013

Timiza Jukumu Lako Ukiwa Mweneza-Injili

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 103, 102

JULAI 8-14, 2013

Je, Una “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”?

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 108, 93

JULAI 15-21, 2013

Imarisha Ndoa Yako Kupitia Mawasiliano Mazuri

UKURASA WA 14 • NYIMBO: 36, 87

JULAI 22-28, 2013

Wazazi na Watoto—Wasilianeni kwa Upendo

UKURASA WA 19 • NYIMBO: 88, 3

JULAI 29, 2013–AGOSTI 4, 2013

Linda Urithi Wako kwa Kufanya Maamuzi ya Hekima

UKURASA WA 26 • NYIMBO: 14, 134

MAKALA ZA FUNZO

▪ Timiza Jukumu Lako Ukiwa Mweneza-Injili

Inamaanisha nini kuwa mweneza-injili? Makala hii inajibu swali hilo na kuonyesha kwa nini watu wanahitaji habari njema. Inaeleza pia jinsi tunavyoweza kufanikiwa kutimiza jukumu letu tukiwa waeneza-injili.

▪ Je, Una “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”?

Makala hii inazungumzia njia mbili tunazotumia kuwavuta watu kwa Mungu tunapokuwa na “bidii kwa ajili ya kazi njema.” (Tito 2:14) Njia moja ni kupitia kazi yetu ya kuhubiri. Njia nyingine ni kupitia mwenendo wetu unaompendeza Mungu.

▪ Imarisha Ndoa Yako Kupitia Mawasiliano Mazuri

▪ Wazazi na Watoto—Wasilianeni kwa Upendo

Mawasiliano mazuri ni muhimu ili mume na mke wawe na ndoa yenye furaha na kufurahia maisha ya familia. Makala ya kwanza inataja sifa zinazoweza kutusaidia kuwasiliana vizuri. Makala ya pili inaonyesha mambo ambayo wazazi na watoto wanaweza kufanya ili kushinda mambo yanayozuia mawasiliano kati yao.

▪ Linda Urithi Wako kwa Kufanya Maamuzi ya Hekima

Wakristo wameahidiwa urithi gani wa kiroho? Tunaweza kujifunza nini kuhusu urithi wetu kutokana na kielelezo chenye kuonya cha Esau? Ni hatua gani zinazoweza kutusaidia kufanya maamuzi yenye hekima kuhusu urithi wetu? Maswali hayo yanajibiwa katika makala hii.

PIA KATIKA TOLEO HILI

13 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

24 Kinachofanya Maisha Yetu Yawe na Kusudi la Kweli

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Dada wanatumia machapisho ya Kigujarati kumhubiria muuza-duka kaskazini-magharibi mwa London

LONDON, UINGEREZA

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki