Yaliyomo
Juni 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. All rights reserved.
MAKALA ZA FUNZO
AGOSTI 5-11, 2013
Thamini Kikamili Sifa za Yehova
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 69, 89
AGOSTI 12-18, 2013
Thamini Ukarimu na Usawaziko wa Yehova
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 22, 110
AGOSTI 19-25, 2013
Thamini Ushikamanifu na Msamaha wa Yehova
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 63, 77
AGOSTI 26, 2013–SEPTEMBA 1 2013
Acha Nidhamu ya Yehova Ikufinyange
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 120, 64
MAKALA ZA FUNZO
▪ Thamini Kikamili Sifa za Yehova
▪ Thamini Ukarimu na Usawaziko wa Yehova
▪ Thamini Ushikamanifu na Msamaha wa Yehova
Wakristo wengi hufikiri kwamba Yehova ana sifa nne kuu pekee. Lakini makala hizi tatu zitatusaidia kuthamini zaidi sifa kadhaa za Yehova ambazo watu hawajifunzi mara nyingi. Kuhusu kila sifa, tutajibu maswali haya: Inamaanisha nini? Yehova anaionyeshaje? Na tunawezaje kumwiga Yehova katika kuonyesha sifa hiyo?
▪ Acha Nidhamu ya Yehova Ikufinyange
Maandiko yanapoeleza kwa njia ya mfano kuhusu mamlaka ya Yehova juu ya wanadamu akiwa mwenye enzi kuu, yanamwita Yehova “Mfinyanzi wetu.” (Isa. 64:8) Makala hii inaonyesha mambo tunayoweza kujifunza kumhusu huyo Mfinyanzi Mkuu kutokana na jinsi alivyowafinyanga watu mmoja-mmoja na mataifa nyakati za kale. Inazungumzia pia jinsi tunavyoweza kunufaika anapotufinyanga leo.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Kumtii Yehova Kumeniletea Baraka Nyingi
22 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
29 Wazee—Je, Mtaiburudisha “Nafsi Iliyochoka”?
JALADA: Kuhubiri barabarani katika eneo la umma huko Frankfurt, Ujerumani
UJERUMANI
IDADI YA WATU
81,751,600
MASHAHIDI
162,705
MAFUNZO YA BIBLIA
74,466
HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2012
265,407