Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 7/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 7/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Julai 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. All rights reserved.

TOLEO LA FUNZO

SEPTEMBA 2-8, 2013

“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 128, 101

SEPTEMBA 9-15, 2013

“Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”

UKURASA WA 9 • NYIMBO: 30, 109

SEPTEMBA 16-22, 2013

Aliwatumia Wachache Kuwalisha Wengi

UKURASA WA 15 • NYIMBO: 108, 117

SEPTEMBA 23-29, 2013

“Ni Nani Kwa Kweli Mtumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?”

UKURASA WA 20 • NYIMBO: 107, 116

MAKALA ZA FUNZO

▪ “Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”

▪ “Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”

Makala hizi zinazungumzia sehemu fulani za Mathayo sura ya 24 na 25. Zinaonyesha marekebisho kadhaa katika uelewaji wetu kuhusu wakati wa kutimia kwa matukio ya unabii wa Yesu wa siku za mwisho na ule mfano wake wa ngano na magugu. Makala hizi zinazungumzia pia jinsi tunavyoweza kunufaika kibinafsi kutokana na marekebisho hayo.

▪ Aliwatumia Wachache Kuwalisha Wengi

▪ “Ni Nani Kwa Kweli Mtumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?”

Iwe aliulisha umati chakula kwa njia ya muujiza au aliwalisha kiroho wafuasi wake, Yesu alifuata utaratibu fulani, yaani, aliwatumia wachache kuwalisha wengi. Makala ya kwanza inazungumzia wachache aliowatumia ili kulisha wafuasi wake watiwa-mafuta katika karne ya kwanza. Makala ya pili inachunguza swali hili muhimu: Wachache wanaotumiwa na Kristo kutulisha leo ni nani?

PIA KATIKA TOLEO HILI

26 Mshiriki Mpya wa Baraza Linaloongoza

27 Tayari Kumtumikia Yehova—Popote Pale

32 “Tazama Picha!”

JALADA: Kuhubiri nyumba kwa nyumba huko Bukimba, Runda, Rwanda

RWANDA

Robo ya Mashahidi nchini Rwanda wanatumikia katika utumishi wa upainia, na wengine wote ni Mashahidi wenye bidii wanaotimiza kwa wastani saa 20 kila mwezi katika huduma

MASHAHIDI

22,734

MAFUNZO YA BIBLIA

52,123

HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2012

69,582

[Grafu katika ukurasa wa 2]

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki