Yaliyomo
Julai 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. All rights reserved.
TOLEO LA FUNZO
SEPTEMBA 2-8, 2013
“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 128, 101
SEPTEMBA 9-15, 2013
“Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”
UKURASA WA 9 • NYIMBO: 30, 109
SEPTEMBA 16-22, 2013
Aliwatumia Wachache Kuwalisha Wengi
UKURASA WA 15 • NYIMBO: 108, 117
SEPTEMBA 23-29, 2013
“Ni Nani Kwa Kweli Mtumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?”
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 107, 116
MAKALA ZA FUNZO
▪ “Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”
▪ “Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”
Makala hizi zinazungumzia sehemu fulani za Mathayo sura ya 24 na 25. Zinaonyesha marekebisho kadhaa katika uelewaji wetu kuhusu wakati wa kutimia kwa matukio ya unabii wa Yesu wa siku za mwisho na ule mfano wake wa ngano na magugu. Makala hizi zinazungumzia pia jinsi tunavyoweza kunufaika kibinafsi kutokana na marekebisho hayo.
▪ Aliwatumia Wachache Kuwalisha Wengi
▪ “Ni Nani Kwa Kweli Mtumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?”
Iwe aliulisha umati chakula kwa njia ya muujiza au aliwalisha kiroho wafuasi wake, Yesu alifuata utaratibu fulani, yaani, aliwatumia wachache kuwalisha wengi. Makala ya kwanza inazungumzia wachache aliowatumia ili kulisha wafuasi wake watiwa-mafuta katika karne ya kwanza. Makala ya pili inachunguza swali hili muhimu: Wachache wanaotumiwa na Kristo kutulisha leo ni nani?
PIA KATIKA TOLEO HILI
26 Mshiriki Mpya wa Baraza Linaloongoza
JALADA: Kuhubiri nyumba kwa nyumba huko Bukimba, Runda, Rwanda
RWANDA
Robo ya Mashahidi nchini Rwanda wanatumikia katika utumishi wa upainia, na wengine wote ni Mashahidi wenye bidii wanaotimiza kwa wastani saa 20 kila mwezi katika huduma
MASHAHIDI
22,734
MAFUNZO YA BIBLIA
52,123
HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2012
69,582