Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 9/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 9/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Septemba 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

TOLEO LA FUNZO

OKTOBA 28, 2013–NOVEMBA 3, 2013

Vikumbusho vya Yehova Ni Vyenye Kutegemeka

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 64, 114

NOVEMBA 4-10, 2013

Vifanye Vikumbusho vya Yehova Kuwa Furaha ya Moyo Wako

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 116, 52

NOVEMBA 11-17, 2013

Je, Umegeuzwa?

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 69, 106

NOVEMBA 18-24, 2013

Fanya Maamuzi ya Kibinafsi kwa Hekima

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 27, 83

NOVEMBA 25, 2013–DESEMBA 1, 2013

Upainia Huimarisha Uhusiano Wetu na Mungu

UKURASA WA 27 • NYIMBO: 95, 104

MAKALA ZA FUNZO

▪ Vikumbusho vya Yehova Ni Vyenye Kutegemeka

▪ Vifanye Vikumbusho vya Yehova Kuwa Furaha ya Moyo Wako

Sikuzote Yehova ametumia vikumbusho kuwaelekeza na kuwaongoza watu wake. Vikumbusho hivyo vinatia ndani nini? Makala ya kwanza inakazia kwa nini tunaweza kuvitegemea vikumbusho vya Mungu. Makala ya pili inazungumzia njia tatu za kutusaidia kusitawisha ushikamanifu usioyumbayumba kuelekea vikumbusho vya Yehova.

▪ Je, Umegeuzwa?

▪ Fanya Maamuzi ya Kibinafsi kwa Hekima

Malezi na mazingira yetu huongoza sana maoni na maamuzi yetu. Tunaweza kuhakikishaje kwamba maamuzi yetu yanapatana na mapenzi ya Mungu? Na ni nini kinachoweza kutusaidia kutenda kupatana na maamuzi yetu? Makala hizi zitatusaidia kujichunguza kwa unyoofu katika mambo hayo.

▪ Upainia Huimarisha Uhusiano Wetu na Mungu

Tutazungumzia njia nane ambazo upainia huimarisha uhusiano wa Mkristo pamoja na Yehova. Ikiwa wewe ni painia, ni nini kitakachokusaidia kuendelea licha ya matatizo? Unaweza kufanya nini ikiwa ungependa kufanya upainia na kupata baraka?

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Nufaika kwa Kutumia Mbinu ya Kulinganisha na Kutofautisha Mambo

32 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

JALADA: Kuna fursa nyingi za kuhubiri isivyo rasmi katika jimbo la Amazonas, kaskazini mwa Peru

PERU

IDADI YA WATU

29,734,000

WAHUBIRI

117,245

WATU WALIOBATIZWA KATIKA MIAKA MITANO ILIYOPITA

28,824

Nchini Peru, machapisho yetu hutafsiriwa katika lugha sita. Mapainia wa pekee na wamishonari zaidi ya 120 huhubiri kwa lugha nyingine mbali na Kihispania

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki