Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 10/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 10/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Oktoba 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.

TOLEO LA FUNZO

DESEMBA 2-8, 2013

Uumbaji Unamfunua Mungu Aliye Hai

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 110, 15

DESEMBA 9-15, 2013

“Mtumikieni Yehova”

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 62, 84

DESEMBA 16-22, 2013

Mambo Tunayojifunza Kutokana na Sala Iliyotayarishwa Vizuri

UKURASA WA 21 • NYIMBO: 68, 6

DESEMBA 23-29, 2013

Tenda Kupatana na Sala ya Yesu ya Upendo

UKURASA WA 26 • NYIMBO: 57, 56

MAKALA ZA FUNZO

▪ Uumbaji Unamfunua Mungu Aliye Hai

Mungu asiyeonekana aliumba ulimwengu mzima. Je, unaamini hivyo kwa moyo wako wote? Si watu wote wanaoamini hivyo. Tutawasaidiaje wengine wajue ukweli kumhusu Muumba na kuimarisha imani yetu wenyewe? Maswali hayo yanajibiwa katika makala hii.

▪ “Mtumikieni Yehova”

Wakristo wanahimizwa wamtumikie Yehova. Tutajifunza katika makala hii mpango uliowekwa katika Sheria ya Musa kwa ajili ya watumwa, jinsi tunavyoweza kuepuka kuwa watumwa wa Shetani na vishawishi vya ulimwengu wake, na thawabu tunayoweza kupata tukiwa watumwa waaminifu wa Mungu.

▪ Mambo Tunayojifunza Kutokana na Sala Iliyotayarishwa Vizuri

▪ Tenda Kupatana na Sala ya Yesu ya Upendo

Tukitafakari Neno la Mungu kila siku, sala zetu zitakuwa bora zaidi. Makala ya kwanza inaonyesha jinsi Walawi walivyofanya hivyo waliposali kwa ajili ya watu wa Mungu. Makala ya pili inaonyesha jinsi tunavyoweza kutenda kupatana na mojawapo ya sala za Yesu za upendo. Sala ya Walawi na sala ya Yesu zinatuwekea mfano katika kutanguliza masilahi ya Yehova badala ya mapendezi yetu wenyewe.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari​—Nchini Ufilipino

17 Kumtegemea Yehova Kumetuletea Thawabu

31 Je, Unaweza Kujitahidi Zaidi Kuwaonya Wengine?

JALADA: Mhubiri akihubiri huko Panajachel, mji mdogo karibu na Ziwa Atitlan. Mbali na Kihispania, Mashahidi wa Yehova wanahubiri habari njema katika lugha 11 zinazotumiwa nchini Guatemala

GUATEMALA

IDADI YA WATU:

15,169,000

WAHUBIRI:

34,693

MAFUNZO YA BIBLIA:

47,606

[Grafu katika ukurasa wa 2]

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki