Yaliyomo
Oktoba 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
TOLEO LA FUNZO
DESEMBA 2-8, 2013
Uumbaji Unamfunua Mungu Aliye Hai
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 110, 15
DESEMBA 9-15, 2013
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 62, 84
DESEMBA 16-22, 2013
Mambo Tunayojifunza Kutokana na Sala Iliyotayarishwa Vizuri
UKURASA WA 21 • NYIMBO: 68, 6
DESEMBA 23-29, 2013
Tenda Kupatana na Sala ya Yesu ya Upendo
UKURASA WA 26 • NYIMBO: 57, 56
MAKALA ZA FUNZO
▪ Uumbaji Unamfunua Mungu Aliye Hai
Mungu asiyeonekana aliumba ulimwengu mzima. Je, unaamini hivyo kwa moyo wako wote? Si watu wote wanaoamini hivyo. Tutawasaidiaje wengine wajue ukweli kumhusu Muumba na kuimarisha imani yetu wenyewe? Maswali hayo yanajibiwa katika makala hii.
▪ “Mtumikieni Yehova”
Wakristo wanahimizwa wamtumikie Yehova. Tutajifunza katika makala hii mpango uliowekwa katika Sheria ya Musa kwa ajili ya watumwa, jinsi tunavyoweza kuepuka kuwa watumwa wa Shetani na vishawishi vya ulimwengu wake, na thawabu tunayoweza kupata tukiwa watumwa waaminifu wa Mungu.
▪ Mambo Tunayojifunza Kutokana na Sala Iliyotayarishwa Vizuri
▪ Tenda Kupatana na Sala ya Yesu ya Upendo
Tukitafakari Neno la Mungu kila siku, sala zetu zitakuwa bora zaidi. Makala ya kwanza inaonyesha jinsi Walawi walivyofanya hivyo waliposali kwa ajili ya watu wa Mungu. Makala ya pili inaonyesha jinsi tunavyoweza kutenda kupatana na mojawapo ya sala za Yesu za upendo. Sala ya Walawi na sala ya Yesu zinatuwekea mfano katika kutanguliza masilahi ya Yehova badala ya mapendezi yetu wenyewe.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Ufilipino
JALADA: Mhubiri akihubiri huko Panajachel, mji mdogo karibu na Ziwa Atitlan. Mbali na Kihispania, Mashahidi wa Yehova wanahubiri habari njema katika lugha 11 zinazotumiwa nchini Guatemala
GUATEMALA
IDADI YA WATU:
15,169,000
WAHUBIRI:
34,693
MAFUNZO YA BIBLIA:
47,606