Yaliyomo
Novemba 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
MAKALA ZA FUNZO
DESEMBA 30, 2013–JANUARI 5, 2014
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 67, 81
JANUARI 6-12, 2014
Tunawezaje Kuendelea Kuwa na ‘Mtazamo wa Kungojea’?
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 119, 32
JANUARI 13-19, 2014
Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Wanatuhusuje Leo?
UKURASA WA 16 • NYIMBO: 43, 123
JANUARI 20-26, 2014
Tii Wachungaji Waliowekwa na Yehova
UKURASA WA 21 • NYIMBO: 125, 122
JANUARI 27, 2014–FEBRUARI 2, 2014
Wachungaji, Waigeni Wale Wachungaji Wakuu Zaidi
UKURASA WA 26 • NYIMBO: 5, 84
MAKALA ZA FUNZO
▪ ‘Kesheni Kuhusiana na Sala’
Mfumo mwovu wa mambo wa Shetani unapokaribia mwisho wake, ni muhimu sana tusilale kiroho. Makala hii inazungumzia jinsi kukesha kuhusiana na sala kunavyoweza kutusaidia kuendelea kukaa macho.
▪ Tunawezaje Kuendelea Kuwa na ‘Mtazamo wa Kungojea’?
Makala hii inaonyesha mambo tunayoweza kujifunza kutokana na subira ya nabii Mika. Chunguza matukio yatakayoonyesha kwamba wakati umefika wa Yehova kuuharibu mfumo huu mwovu. Makala hii inaonyesha pia jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunathamini subira ya Mungu.
▪ Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Wanatuhusuje Leo?
Tunaweza kujifunza mambo muhimu kutokana na simulizi linaloonyesha jinsi Senakeribu alivyoshambulia Yerusalemu katika siku za Hezekia. Habari hii inawahusu hasa wale waliokabidhiwa daraka la kulichunga kutaniko.
▪ Tii Wachungaji Waliowekwa na Yehova
▪ Wachungaji, Waigeni Wale Wachungaji Wakuu Zaidi
Makala ya kwanza inaonyesha jinsi Yehova na Yesu wanavyolichunga kundi lao duniani leo na jinsi kondoo wanavyopaswa kuthamini utunzaji huo. Makala ya pili inaonyesha mtazamo ambao wazee wa kutaniko wanapaswa kujitahidi kuwa nao wanapotumikia wakiwa wachungaji wa kundi la Mungu.
PIA KATIKA TOLEO HILI
8 Jinsi Tunavyoweza Kuwasaidia Wenye Uhitaji
JALADA: Kuhubiri katika kituo cha treni jijini Tokyo. Wasafiri zaidi ya milioni 2.8 huja Tokyo kila siku. Ndugu wanajitahidi kuwahubiria watu wasiopatikana nyumbani
JAPAN
IDADI YA WATU:
126,536,000
WASTANI WA WAHUBIRI:
216,692
MAPAINIA WA KAWAIDA
65,245