Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 11/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 11/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Novemba 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.

MAKALA ZA FUNZO

DESEMBA 30, 2013–JANUARI 5, 2014

‘Kesheni Kuhusiana na Sala’

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 67, 81

JANUARI 6-12, 2014

Tunawezaje Kuendelea Kuwa na ‘Mtazamo wa Kungojea’?

UKURASA WA 10 • NYIMBO: 119, 32

JANUARI 13-19, 2014

Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Wanatuhusuje Leo?

UKURASA WA 16 • NYIMBO: 43, 123

JANUARI 20-26, 2014

Tii Wachungaji Waliowekwa na Yehova

UKURASA WA 21 • NYIMBO: 125, 122

JANUARI 27, 2014–FEBRUARI 2, 2014

Wachungaji, Waigeni Wale Wachungaji Wakuu Zaidi

UKURASA WA 26 • NYIMBO: 5, 84

MAKALA ZA FUNZO

▪ ‘Kesheni Kuhusiana na Sala’

Mfumo mwovu wa mambo wa Shetani unapokaribia mwisho wake, ni muhimu sana tusilale kiroho. Makala hii inazungumzia jinsi kukesha kuhusiana na sala kunavyoweza kutusaidia kuendelea kukaa macho.

▪ Tunawezaje Kuendelea Kuwa na ‘Mtazamo wa Kungojea’?

Makala hii inaonyesha mambo tunayoweza kujifunza kutokana na subira ya nabii Mika. Chunguza matukio yatakayoonyesha kwamba wakati umefika wa Yehova kuuharibu mfumo huu mwovu. Makala hii inaonyesha pia jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunathamini subira ya Mungu.

▪ Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Wanatuhusuje Leo?

Tunaweza kujifunza mambo muhimu kutokana na simulizi linaloonyesha jinsi Senakeribu alivyoshambulia Yerusalemu katika siku za Hezekia. Habari hii inawahusu hasa wale waliokabidhiwa daraka la kulichunga kutaniko.

▪ Tii Wachungaji Waliowekwa na Yehova

▪ Wachungaji, Waigeni Wale Wachungaji Wakuu Zaidi

Makala ya kwanza inaonyesha jinsi Yehova na Yesu wanavyolichunga kundi lao duniani leo na jinsi kondoo wanavyopaswa kuthamini utunzaji huo. Makala ya pili inaonyesha mtazamo ambao wazee wa kutaniko wanapaswa kujitahidi kuwa nao wanapotumikia wakiwa wachungaji wa kundi la Mungu.

PIA KATIKA TOLEO HILI

8 Jinsi Tunavyoweza Kuwasaidia Wenye Uhitaji

15 Kumtumikia Mungu Ndiyo Dawa Yake!

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Kuhubiri katika kituo cha treni jijini Tokyo. Wasafiri zaidi ya milioni 2.8 huja Tokyo kila siku. Ndugu wanajitahidi kuwahubiria watu wasiopatikana nyumbani

JAPAN

IDADI YA WATU:

126,536,000

WASTANI WA WAHUBIRI:

216,692

MAPAINIA WA KAWAIDA

65,245

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki