Yaliyomo
Desemba 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
MAKALA ZA FUNZO
FEBRUARI 3-9, 2014
‘Usitikiswe Upesi Kutoka Kwenye Kufikiri Kwako’!
UKURASA WA 6 • NYIMBO: 65, 59
FEBRUARI 10-16, 2014
Je, Utajidhabihu kwa Ajili ya Ufalme?
UKURASA WA 11 • NYIMBO: 40, 75
FEBRUARI 17-23, 2014
“Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 109, 18
FEBRUARI 24, 2014–MACHI 2, 2014
‘Fanyeni Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 99, 8
MAKALA ZA FUNZO
▪ ‘Usitikiswe Upesi Kutoka Kwenye Kufikiri Kwako’!
Ni muhimu kama nini kutokubali kudanganywa na mawazo ya kutiliwa shaka na ya kukisiwa-kisiwa na kuyaona kuwa ya kweli! Tunapata maonyo ya wakati unaofaa katika kitabu cha Kwanza na cha Pili cha Wathesalonike.
▪ Je, Utajidhabihu kwa Ajili ya Ufalme?
Ni lazima tujidhabihu sana ili kutegemeza kazi ya Ufalme. Katika makala hii, tutajifunza kutokana na dhabihu zilizotolewa katika taifa la kale la Israeli. Tutachunguza pia mifano ya watu wengi leo wanaojidhabihu ili kuunga mkono Ufalme.
▪ “Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”
▪ ‘Fanyeni Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’
Kila mwaka, karibu wakati uleule, Wayahudi husherehekea Pasaka na Wakristo wa kweli huadhimisha Ukumbusho wa kifo cha Yesu. Kwa nini tunapaswa kujifunza kuhusu Pasaka? Tunajuaje wakati wa kuadhimisha Mlo wa Jioni wa Bwana na una maana gani kwetu sote?
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Yehova Aliwalinda Katika Vivuli vya Milima
JALADA: Ni vigumu sana kuwafikia watu wanaoishi kwenye milima hii yenye miamba (kopjes). Baadhi yake ina miamba mikubwa sana kileleni. Hata hivyo, akina ndugu wanahubiri juu ya Milima ya Matobo, Matabeleland, Zimbabwe
ZIMBABWE
IDADI YA WATU:
12,759,565
WAHUBIRI:
40,034
MAFUNZO YA BIBLIA:
90,894
Watu nchini Zimbabwe wakifurahia kusoma machapisho. Kwa wastani, kila Shahidi hutoa magazeti 16 kila mwezi