Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 12/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 12/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Desemba 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.

MAKALA ZA FUNZO

FEBRUARI 3-9, 2014

‘Usitikiswe Upesi Kutoka Kwenye Kufikiri Kwako’!

UKURASA WA 6 • NYIMBO: 65, 59

FEBRUARI 10-16, 2014

Je, Utajidhabihu kwa Ajili ya Ufalme?

UKURASA WA 11 • NYIMBO: 40, 75

FEBRUARI 17-23, 2014

“Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 109, 18

FEBRUARI 24, 2014–MACHI 2, 2014

‘Fanyeni Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 99, 8

MAKALA ZA FUNZO

▪ ‘Usitikiswe Upesi Kutoka Kwenye Kufikiri Kwako’!

Ni muhimu kama nini kutokubali kudanganywa na mawazo ya kutiliwa shaka na ya kukisiwa-kisiwa na kuyaona kuwa ya kweli! Tunapata maonyo ya wakati unaofaa katika kitabu cha Kwanza na cha Pili cha Wathesalonike.

▪ Je, Utajidhabihu kwa Ajili ya Ufalme?

Ni lazima tujidhabihu sana ili kutegemeza kazi ya Ufalme. Katika makala hii, tutajifunza kutokana na dhabihu zilizotolewa katika taifa la kale la Israeli. Tutachunguza pia mifano ya watu wengi leo wanaojidhabihu ili kuunga mkono Ufalme.

▪ “Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”

▪ ‘Fanyeni Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’

Kila mwaka, karibu wakati uleule, Wayahudi husherehekea Pasaka na Wakristo wa kweli huadhimisha Ukumbusho wa kifo cha Yesu. Kwa nini tunapaswa kujifunza kuhusu Pasaka? Tunajuaje wakati wa kuadhimisha Mlo wa Jioni wa Bwana na una maana gani kwetu sote?

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Yehova Aliwalinda Katika Vivuli vya Milima

16 Je, Unakumbuka?

27 Kukabiliana na Kifo cha Mwenzi Wako wa Ndoa

32 Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2013

JALADA: Ni vigumu sana kuwafikia watu wanaoishi kwenye milima hii yenye miamba (kopjes). Baadhi yake ina miamba mikubwa sana kileleni. Hata hivyo, akina ndugu wanahubiri juu ya Milima ya Matobo, Matabeleland, Zimbabwe

ZIMBABWE

IDADI YA WATU:

12,759,565

WAHUBIRI:

40,034

MAFUNZO YA BIBLIA:

90,894

Watu nchini Zimbabwe wakifurahia kusoma machapisho. Kwa wastani, kila Shahidi hutoa magazeti 16 kila mwezi

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki