Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 12/15 uku. 32
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2013

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2013
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 12/15 uku. 32

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2013

Inaonyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

  • Biblia Ina Ujumbe Gani? 10/1

  • Inaeleweka, 4/1

  • Maandishi ya Kale Yenye Thamani (Biblia ya Kigeorgia), 6/1

BIBLIA INABADILI MAISHA

  • “Hatimaye Nimepata Uhuru wa Kweli” (B. Hewitt), 1/1

  • “Nijithibitishie Ukweli” (L. Alifonso), 2/1

  • “Nilichukiwa na Watu Wengi” (W. Moya), 10/1

  • ‘Nilifikiria kwa Uzito Mwelekeo wa Maisha Yangu’ (A. Hancock), 8/1

  • “Nilikuwa Mkatili” (E. Leinonen), 4/1

  • “Nilitamani Kuwa Kasisi” (R. Pacheco), 5/1

  • “Sitamani Tena Kuubadili Ulimwengu” (J. Sylgren), 7/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Baada ya Talaka, 10/1

  • Jihadhari na Makusudio ya Moyo, 2/15

  • Kifo cha Mwenzi wa Ndoa, 12/15

  • Kushughulika na Familia ya Kambo, 5/1

  • Mtoto Ni Mlemavu, 2/1

  • Ndoa Inaweza Kuwa na Furaha na Kudumu, 9/1

  • Ndoa ya Pili, 7/1

  • Pata Faraja na Uwafariji Wengine, 3/15

  • Petro na Anania Walidanganya—Tunajifunza Nini? 3/1

  • Tunajifunza Nini Kutoka kwa Mhalifu? 6/1

  • Unaweza Kujitahidi Zaidi Kuwaonya Wengine? 10/15

  • Wazazi—Wazoezeni Watoto Tangu Wakiwa Wachanga, 8/15

  • Wazee—Je, Mtaiburudisha “Nafsi Iliyochoka”? 6/15

  • Zungumza na Kijana Bila Kubishana, 11/1

MAKALA ZA FUNZO

  • Acha Nidhamu ya Yehova Ikufinyange, 6/15

  • Aliwatumia Wachache Kuwalisha Wengi, 7/15

  • Endelea Kumkaribia Yehova, 1/15

  • Fanya Maamuzi ya Kibinafsi kwa Hekima, 9/15

  • ‘Fanyeni Hivi kwa Kunikumbuka Mimi,’ 12/15

  • Fikiria Unapaswa Kuwa Mtu wa Namna Gani, 8/15

  • “Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaompenda Yehova, 3/15

  • Huu Ni Urithi Wetu wa Kiroho, 2/15

  • Imarisha Ndoa Yako Kupitia Mawasiliano Mazuri, 5/15

  • Je, Umegeuzwa? 9/15

  • Je, Una ‘Moyo wa Kumjua’ Yehova? 3/15

  • Je, Una “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”? 5/15

  • Je, Unathamini Urithi Wetu wa Kiroho? 2/15

  • Je, Utajidhabihu kwa Ajili ya Ufalme? 12/15

  • Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine Kwa Kutumia Neno la Mungu, 4/15

  • Kaa Katika Bonde la Yehova la Ulinzi, 2/15

  • ‘Kesheni Kuhusiana na Sala,’ 11/15

  • Kumtumikia Mungu Bila Majuto, 1/15

  • Kwa Kuwa ‘Umemjua Mungu,’ Ufanye Nini Sasa? 3/15

  • Liheshimu Jina Kuu la Yehova, 3/15

  • Linda Urithi Wako kwa Kufanya Maamuzi ya Hekima, 5/15

  • Mambo Tunayojifunza Kutokana na Sala Iliyotayarishwa Vizuri, 10/15

  • Mfikiriane na Kutiana Moyo, 8/15

  • “Mhakikishe Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi,” 4/15

  • Mmetakaswa, 8/15

  • “Mtumikieni Yehova,” 10/15

  • “Ni Nani Kwa Kweli Mtumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?” 7/15

  • Pata Manufaa Kamili kwa Kusoma Biblia, 4/15

  • “Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu,” 12/15

  • “Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote,” 7/15

  • Tenda Kupatana na Sala ya Yesu ya Upendo, 10/15

  • Thamini Kikamili Sifa za Yehova, 6/15

  • Thamini Ukarimu na Usawaziko wa Yehova, 6/15

  • Thamini Ushikamanifu na Msamaha wa Yehova, 6/15

  • Tii Wachungaji Waliowekwa na Yehova, 11/15

  • Timiza Jukumu Lako Ukiwa Mweneza-Injili, 5/15

  • “Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?” 7/15

  • Tunawezaje Kuendelea Kuwa na ‘Mtazamo wa Kungojea’? 11/15

  • Upainia Huimarisha Uhusiano Wetu na Mungu, 9/15

  • “Usichoke Kabisa,” 4/15

  • Usiruhusu Chochote Kikuzuie Kupata Utukufu, 2/15

  • Usiruhusu Kitu Chochote Kikutenganishe na Yehova, 1/15

  • ‘Usitikiswe Upesi Kutoka Kwenye Kufikiri Kwako’! 12/15

  • Usiwe Kamwe na “Ghadhabu Juu ya Yehova,” 8/15

  • Uumbaji Unamfunua Mungu Aliye Hai, 10/15

  • Uwe Hodari—Yehova Yupo Pamoja Nawe! 1/15

  • Vifanye Vikumbusho vya Yehova Kuwa Furaha ya Moyo Wako, 9/15

  • Vikumbusho vya Yehova Ni Vyenye Kutegemeka, 9/15

  • Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Wanatuhusuje Leo? 11/15

  • Wachungaji, Waigeni Wale Wachungaji Wakuu Zaidi, 11/15

  • Wazazi na Watoto—Wasilianeni kwa Upendo, 5/15

  • Wazee Wakristo Ni ‘Wafanyakazi Wenzi kwa Shangwe Yetu,’ 1/15

  • Yehova Ni Makao Yetu, 3/15

MAMBO MENGINE

  • Alikuwa wa Familia ya Kayafa, 2/15

  • Alilindwa “Salama Pamoja na Wengine Saba” (Noa), 8/1

  • ‘Alitangazwa Kuwa Mwadilifu kwa Matendo’ (Rahabu), 11/1

  • ‘Alitembea na Mungu’ (Noa), 4/1

  • Amani Duniani, 6/1

  • “Bado Anasema” (Abeli), 1/1

  • Dini Inategemeka? 7/1

  • Elisha Aliona Magari ya Vita Yenye Moto, 8/15

  • Ibilisi Alitoka Wapi? 2/1

  • Injili ya Yuda, 2/1

  • Je, Dhambi Zinaweza Kusamehewa? 5/1

  • Je, Hekalu la Yerusalemu Lilijengwa Upya Baada ya 70 W.K.? 4/15

  • Je, Kweli Yosefo Ndiye Aliyekiandika? 3/15

  • Je, Tusali kwa Watakatifu? 6/1

  • Jinsi Rangi Inavyokuchochea, 10/1

  • Kuishi Milele, 7/1

  • Kuwasaidia Wenye Uhitaji, 11/15

  • Kwa Nini Kuna Mateso Mengi? 9/1

  • Kwa Nini Majina ya Watu Fulani Hayatajwi Katika Biblia? 8/1

  • Lugha Zilianzia Kwenye “Mnara wa Babeli”? 9/1

  • Maisha Yenye Kusudi, 4/1

  • Musa, 2/1

  • Mwisho wa Ulimwengu, 1/1

  • Ni Nani Wanaoenda Mbinguni? 11/1

  • Ninawi “Jiji la Umwagaji wa Damu,” 4/1

  • Nufaika kwa Kutumia Mbinu ya Kulinganisha na Kutofautisha Mambo, 9/15

  • Ponografia—Je, Ina Madhara? 8/1

  • Shaba (ilivyotumiwa zamani), 12/1

  • Ubaguzi—Tatizo la Ulimwenguni Pote, 6/1

  • Ufufuo, 10/1

  • Ukuta wa Ukingoni Kwenye Paa za Nyumba za Wayahudi, 4/1

  • Walinzi wa Mfalme Wahubiriwa, 2/15

  • Wayahudi wa Karne ya Kwanza Walivyotayarisha Wafu Kabla ya Kuwazika, 3/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • “Isiyosahaulika” (“Creation Drama”), 2/15

  • “Kama Kobe Katika Gamba” (magari yanayotumiwa kama nyumba), 11/15

  • Kampeni Iliyopangwa Vizuri (Chile), 1/15

  • Kumtumikia Mungu Ndiyo Dawa Yake! 11/15

  • Kwa Wasomaji Wetu (Gazeti la Mnara wa Mlinzi), 1/1

  • Makusanyiko ya Wilaya ya ‘Neno la Mungu Ni Kweli,’ 5/1

  • Mfalme Alifurahi Sana! (Swaziland), 8/15

  • Mshiriki Mpya wa Baraza Linaloongoza (M. Sanderson), 7/15

  • “Tazama Picha!” 7/15

  • Usivunjike Moyo Kamwe! 3/15

  • Walijitoa Wenyewe Nchini Mexico, 4/15

  • Walijitoa Wenyewe Nchini Norway, 1/15

  • Walijitoa Wenyewe Nchini Ufilipino, 10/15

  • Walisimama Imara Katika “Saa ya Jaribu” (Vita vya Kwanza vya Ulimwengu), 5/15

  • Yehova Aliwalinda (enzi ya Wanazi), 12/15

MASIMULIZI YA MAISHA

  • Kinachofanya Maisha Yetu Yawe na Kusudi la Kweli (P. Smith), 5/15

  • Kumtegemea Yehova Kumetuletea Thawabu (M. Allen), 10/15

  • Kumtii Yehova Kumeniletea Baraka Nyingi (E. Piccioli), 6/15

  • Maskini Kimwili Lakini Tajiri Kiroho (A. Ursu), 9/1

  • Miaka Hamsini Karibu na Mzingo wa Aktiki (A. na A. Mattila), 4/15

  • “Niliona, Lakini Sikuelewa” (O. Hamel), 3/1

  • Tayari Kumtumikia Yehova—Popote Pale (M. na J. Hartlief), 7/15

  • Uamuzi wa Kutumia Maisha Yangu Katika Utumishi wa Yehova (B. Walden), 12/1

  • Yehova ‘Hunibebea Mzigo Wangu Kila Siku’ (M. du Raan), 8/15

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

  • ‘Aliwahubiria Roho Walio Gerezani’ (1Pe 3: 19), 6/15

  • Je, ingefaa wazazi kuketi mikutanoni na mtoto aliyetengwa na ushirika? 8/15

  • Je, Waisraeli waliua kwa kutundika juu ya miti? 5/15

  • Kwa nini Yesu alitokwa na machozi? (Yoh 11:35), 9/15

  • “Wana wa Mungu wa kweli” walikuwa nani? (Mwa 6: 2, 4), 6/15

YEHOVA

  • ‘Anafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,’ 12/1

  • Anaijaza ‘Mioyo Yetu Kikamili,’ 7/1

  • “Endeleeni Kuomba,” 4/1

  • Je, Anajali Tunapoteseka? 7/1

  • Je, Husikiliza Sala Zote? 8/1

  • Je, Kweli Anakujali? 5/1

  • Je, Mungu Ni Mkatili? 5/1

  • Je, Tunamhitaji Mungu? 12/1

  • Jina, 1/1

  • ‘Mthawabishaji wa Wanaomtafuta kwa Bidii,’ 11/1

  • Mungu Anaweza Kuhuzunika, 9/1

  • “Mungu Hupenda Mtoaji Mchangamfu,” 9/1

  • ‘Mungu wa Walio Hai,’ 2/1

  • “Ni Amri Gani Iliyo ya Kwanza?” 3/1

  • “Sifa Ambazo Hazionekani, Zinaonekana Waziwazi,” 8/1

  • ‘Umeyafunua kwa Watoto,’ 1/1

  • Uwongo Unaofanya Watu Wasimpende Mungu, 11/1

  • ‘Yehova Aliwasamehe,’ 10/1

  • Yehova “Hana Ubaguzi,” 6/1

YESU KRISTO

  • Aliumbwa Lini? 3/1

  • Je, Alimwahidi Mtenda-Maovu Ataishi Mbinguni? 3/1

  • Kurudi kwa Kristo, 12/1

  • Kuzikwa, 3/1

  • Kwa Nini Anaitwa Mwana wa Mungu? 3/1

  • Tumkumbuke Jinsi Gani? 12/1

  • Ufufuo, 3/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki