Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2013
Inaonyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana
BIBLIA
BIBLIA INABADILI MAISHA
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
MAKALA ZA FUNZO
Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine Kwa Kutumia Neno la Mungu, 4/15
Mambo Tunayojifunza Kutokana na Sala Iliyotayarishwa Vizuri, 10/15
Vifanye Vikumbusho vya Yehova Kuwa Furaha ya Moyo Wako, 9/15
Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Wanatuhusuje Leo? 11/15
Wazee Wakristo Ni ‘Wafanyakazi Wenzi kwa Shangwe Yetu,’ 1/15
MAMBO MENGINE
Je, Hekalu la Yerusalemu Lilijengwa Upya Baada ya 70 W.K.? 4/15
Nufaika kwa Kutumia Mbinu ya Kulinganisha na Kutofautisha Mambo, 9/15
Wayahudi wa Karne ya Kwanza Walivyotayarisha Wafu Kabla ya Kuwazika, 3/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
“Kama Kobe Katika Gamba” (magari yanayotumiwa kama nyumba), 11/15
Walisimama Imara Katika “Saa ya Jaribu” (Vita vya Kwanza vya Ulimwengu), 5/15
MASIMULIZI YA MAISHA
Kinachofanya Maisha Yetu Yawe na Kusudi la Kweli (P. Smith), 5/15
Miaka Hamsini Karibu na Mzingo wa Aktiki (A. na A. Mattila), 4/15
Tayari Kumtumikia Yehova—Popote Pale (M. na J. Hartlief), 7/15
Uamuzi wa Kutumia Maisha Yangu Katika Utumishi wa Yehova (B. Walden), 12/1