Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 1/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 1/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Januari 15, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.

TOLEO LA FUNZO

MACHI 3-9, 2014

Mwabudu yehova Mfalme wa umilele

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 106, 46

MACHI 10-16, 2014

Miaka ya Utawala wa Ufalme—Inakuhusuje?

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 97, 101

MACHI 17-23, 2014

Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 41, 89

MACHI 24-30, 2014

Kumtumikia Yehova Kabla Siku Zenye Msiba Hazijaja

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 54, 17

MACHI 31, 2014–APRIL 6, 2014

“Ufalme wako na Uje lakini Utakuja lini??

UKURASA WA 27 • NYIMBO: 108, 30

MAKALA ZA FUNZO

▪ Mwabudu Yehova, Mfalme wa Umilele

Makala hii itathibitisha kwamba Yehova amekuwa Mfalme sikuzote na itaonyesha jinsi ambavyo ametumia mamlaka yake juu ya viumbe wake mbinguni na duniani. Makala hii pia itatuchochea kuiga mifano ya watu wa kale walioamua kumwabudu Yehova, Mfalme wa umilele.

▪ Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme—Inakuhusuje?

Makala hii itatusaidia kuthamini zaidi mambo yaliyotimizwa na Ufalme wa Kimasihi katika miaka 100 ya kwanza ya utawala wake. Itamtia moyo kila mmoja wetu kuwa raia mshikamanifu wa Ufalme, na itatusaidia kutafakari kuhusu maana kamili ya andiko letu la mwaka wa 2014.

▪ Kufanya Maamuzi ya Hekima Ukiwa Kijana

▪ Kumtumikia Yehova Kabla Siku Zenye Msiba Hazijaja

Nitayatumiaje maisha yangu? Hilo ni swali muhimu kwa yeyote aliyejiweka wakfu kwa Yehova. Katika makala hizi, tutazungumzia kanuni zinazoweza kuwaongoza vijana Wakristo kumtumikia Mungu kikamili, na nafasi ambazo Wakristo waliozeeka wanazo za kupanua huduma yao.

▪ “Ufalme Wako na Uje”—Lakini Utakuja Lini?

Leo, watu wengi wanakengeushwa na hali za ulimwengu au kwa kufuatia mapendezi yao wenyewe. Makala hii inazungumzia mambo matatu yanayowasaidia Wakristo kuwa na hakika kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu utakomesha mfumo huu mwovu.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Afrika Magharibi

32 Uamuzi Niliofanya Utotoni

JALADA: Kuwahubiria Kuwahubiria wanafunzi wa chuo kikuu katika jiji la Lviv wanaotoka nchi nyingine

UKRAINIA

IDADI YA WATU

45,561,000

WAHUBIRI

150,887

Kuna makutaniko 1,737 na vikundi 373 vya lugha 15, kutia ndani Kihungaria, Kiromania, Lugha ya Ishara ya Urusi, na Kiukrania

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki