Yaliyomo
Februari 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
TOLEO LA FUNZO
APRILI 7-13, 2014
Msifuni Kristo—Mfalme Mtukufu!
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 99, 107
APRILI 14-20, 2014
Shangilieni kwa Sababu ya Ndoa ya Mwana-Kondoo!
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 109, 100
APRILI 21-27, 2014
Yehova Ni Mwandalizi na Mlinzi Wetu
UKURASA WA 16 • NYIMBO: 60, 51
APRILI 28, 2014–MEI 4, 2014
Yehova Ni Rafiki Yetu Mkubwa Zaidi
UKURASA WA 21 • NYIMBO: 91, 63
MAKALA ZA FUNZO
▪ Msifuni Kristo—Mfalme Mtukufu!
▪ Shangilieni kwa Sababu ya Ndoa ya Mwana-Kondoo!
Yesu Kristo, Mfalme wa Kimasihi, anajifunga upanga wake na kupanda ili kuwashinda adui zake. Baada ya kukamilisha ushindi wake, anafunga ndoa na bibi-arusi mrembo anayeandamana na mabikira. Matukio hayo yenye kusisimua yanaelezwa katika Zaburi ya 45. Soma uone jinsi yanavyokuhusu.
▪ Yehova Ni Mwandalizi na Mlinzi Wetu
▪ Yehova Ni Rafiki Yetu Mkubwa Zaidi
Ni nini kinachoweza kutusaidia kumthamini zaidi Yehova, Baba yetu wa mbinguni? Makala hizi zitatusaidia kuimarisha uhusiano wetu na Yehova akiwa Mwandalizi, Mlinzi, na Rafiki yetu mkubwa zaidi. Zitatuchochea pia kuwasaidia wengine ili wamheshimu.
PIA KATIKA TOLEO HILI
13 Mjane wa Sarefathi Alithawabishwa kwa Sababu ya Imani Yake
JALADA: Eneo hili la umma lenye shughuli nyingi (Michaelerplatz) katika jiji la Vienna ni mahali panapofaa pa kuzungumza na wengine kuhusu ujumbe wa Biblia. Dada yetu anahubiri katika lugha ya Kichina na kutoa kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa?
AUSTRIA
WAHUBIRI
20,923
MAPAINIA
2,201
MAFUNZO YA BIBLIA
10,987
Huko Vienna, habari njema ya Ufalme inahubiriwa katika lugha 25