Yaliyomo
Machi 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania.
TOLEO LA FUNZO
MEI 5-11, 2014
Jinsi ya Kudumisha Roho ya Kujidhabihu
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 61, 25
MEI 12-18, 2014
Jinsi ya Kudumisha Maoni Yanayofaa
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 74, 119
MEI 19-25, 2014
Waheshimuni Ndugu na Dada Waliozeeka
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 90, 135
MEI 26, 2014–JUNI 1, 2014
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 134, 29
MAKALA ZA FUNZO
▪ Jinsi ya Kudumisha Roho ya Kujidhabihu
Tunakabili adui mwenye hila anayeweza kudhoofisha roho yetu ya kujidhabihu. Makala hii itamtambulisha adui huyo na kutuonyesha jinsi tunavyoweza kuitumia Biblia kupambana naye.
▪ Jinsi ya Kudumisha Maoni Yanayofaa
Maoni yanayofaa yanaweza kutusaidia kuendelea kumwabudu Yehova kwa uvumilivu. Kwa nini watu fulani wanajiona hawafai? Makala hii ya funzo itatuonyesha jinsi tunavyoweza kuitumia Biblia ili itusaidie kudumisha maoni yanayofaa kujihusu.
▪ Waheshimuni Ndugu na Dada Waliozeeka
▪ Kuwatunza Waliozeeka
Makala hizi zinazungumzia wajibu wa kila Mkristo na wajibu wa makutaniko wa kuwatunza waamini wenzetu na watu wa ukoo waliozeeka. Tutachunguza pia mapendekezo machache yanayofaa yanayoweza kukusaidia kutimiza wajibu huo.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Kuifikia Mioyo ya Watu wa Ukoo Wasio Waamini
JALADA: Baadhi ya Mashahidi wa Yehova nchini Australia husafiri mbali ili kuwahubiria watu wanaoishi na kufanya kazi kwenye mashamba ya kufugia ng’ombe nchini humo
AUSTRALIA
IDADI YA WATU
23,192,500
WAHUBIRI
66,967