Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 4/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 4/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Aprili 15, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

TOLEO LA FUNZO

JUNI 2-8, 2014

Iga Imani ya Musa

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 33, 133

JUNI 9-15, 2014

Je, Unamwona ‘Yule Asiyeonekana’?

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 81, 132

JUNI 16-22, 2014

Hakuna Anayeweza Kuwatumikia Mabwana Wawili

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 62, 106

JUNI 23-29, 2014

Uwe Hodari​—Yehova Ni Msaidizi Wako!

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 22, 95

JUNI 30, 2014–JULAI 6, 2014

Je, Unathamini Kwamba Yehova Anatuchunguza kwa Sababu Anatujali?

UKURASA WA 27 • NYIMBO: 69, 120

MAKALA ZA FUNZO

▪ Iga Imani ya Musa

▪ Je, Unamwona ‘Yule Asiyeonekana’?

Kwa imani, Musa aliona mambo yasiyoonekana kwa macho halisi. Makala hizi zitachunguza jinsi tunavyoweza kudhihirisha imani kama ya Musa na kuendelea kuwa “imara kama mtu anayemwona Yeye asiyeonekana.”​—Ebr. 11:27.

▪ Hakuna Anayeweza Kuwatumikia Mabwana Wawili

▪ Uwe Hodari​—Yehova Ni Msaidizi Wako!

Mamilioni ya watu ulimwenguni pote huamua kuhamia nchi nyingine kutafuta kazi. Wengi wao humwacha mwenzi wao wa ndoa na watoto. Makala hizi zitatusaidia kuelewa jinsi Yehova anavyotaka tuchukue wajibu wetu katika familia na jinsi anavyotusaidia kuutimiza.

▪ Je, Unathamini Kwamba Yehova Anatuchunguza kwa Sababu Anatujali?

Tunaposoma kwamba “macho ya Yehova yako kila mahali,” huenda baadhi yetu tukahisi kwamba Mungu anataka tu kutekeleza sheria zake, na hilo linaweza kutufanya tuwe na woga usiofaa kumwelekea. (Met. 15:3) Hata hivyo, makala hii itatuonyesha faida tano tunazopata kwa sababu ya kuchunguzwa na Yehova.

PIA KATIKA TOLEO HILI

13 Mambo Niliyotimiza Katika Utumishi wa Wakati Wote

32 Je, Wajua?

JALADA: Ndugu anamhubiria kinyozi isivyo rasmi jijini Istanbul akitumia broshua Habari Njema

TURKEY

IDADI YA WATU

75,627,384

WAHUBIRI

2,312

MAFUNZO YA BIBLIA

1,632

UWIANO

Shahidi 1 anahitaji kuwahubiria watu 32,711

Tangu 2004 Mapainia wa kawaida wameongezeka nchini Uturuki kwa asilimia 165 asilimia 165

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki