Yaliyomo
Aprili 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
JUNI 2-8, 2014
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 33, 133
JUNI 9-15, 2014
Je, Unamwona ‘Yule Asiyeonekana’?
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 81, 132
JUNI 16-22, 2014
Hakuna Anayeweza Kuwatumikia Mabwana Wawili
UKURASA WA 17 • NYIMBO: 62, 106
JUNI 23-29, 2014
Uwe Hodari—Yehova Ni Msaidizi Wako!
UKURASA WA 22 • NYIMBO: 22, 95
JUNI 30, 2014–JULAI 6, 2014
Je, Unathamini Kwamba Yehova Anatuchunguza kwa Sababu Anatujali?
UKURASA WA 27 • NYIMBO: 69, 120
MAKALA ZA FUNZO
▪ Iga Imani ya Musa
▪ Je, Unamwona ‘Yule Asiyeonekana’?
Kwa imani, Musa aliona mambo yasiyoonekana kwa macho halisi. Makala hizi zitachunguza jinsi tunavyoweza kudhihirisha imani kama ya Musa na kuendelea kuwa “imara kama mtu anayemwona Yeye asiyeonekana.”—Ebr. 11:27.
▪ Hakuna Anayeweza Kuwatumikia Mabwana Wawili
▪ Uwe Hodari—Yehova Ni Msaidizi Wako!
Mamilioni ya watu ulimwenguni pote huamua kuhamia nchi nyingine kutafuta kazi. Wengi wao humwacha mwenzi wao wa ndoa na watoto. Makala hizi zitatusaidia kuelewa jinsi Yehova anavyotaka tuchukue wajibu wetu katika familia na jinsi anavyotusaidia kuutimiza.
▪ Je, Unathamini Kwamba Yehova Anatuchunguza kwa Sababu Anatujali?
Tunaposoma kwamba “macho ya Yehova yako kila mahali,” huenda baadhi yetu tukahisi kwamba Mungu anataka tu kutekeleza sheria zake, na hilo linaweza kutufanya tuwe na woga usiofaa kumwelekea. (Met. 15:3) Hata hivyo, makala hii itatuonyesha faida tano tunazopata kwa sababu ya kuchunguzwa na Yehova.
JALADA: Ndugu anamhubiria kinyozi isivyo rasmi jijini Istanbul akitumia broshua Habari Njema
TURKEY
IDADI YA WATU
75,627,384
WAHUBIRI
2,312
MAFUNZO YA BIBLIA
1,632
UWIANO
Shahidi 1 anahitaji kuwahubiria watu 32,711
Tangu 2004 Mapainia wa kawaida wameongezeka nchini Uturuki kwa asilimia 165 asilimia 165