Yaliyomo
Julai 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
SEPTEMBA 1-7, 2014
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 63, 66
SEPTEMBA 8-14, 2014
Watu wa Yehova ‘Hukataa Ukosefu wa Uadilifu’
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 64, 61
SEPTEMBA 15-21, 2014
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 31, 92
SEPTEMBA 22-28, 2014
UKURASA WA 28 • NYIMBO: 102, 103
MAKALA ZA FUNZO
▪ “Yehova Anawajua Walio Wake”
▪ Watu wa Yehova ‘Hukataa Ukosefu wa Uadilifu’
Makala hizi zinafafanua andiko la 2 Timotheo 2:19, na zinaonyesha jinsi andiko hilo linavyohusiana na mambo yaliyotukia katika siku za Musa. Jifunze jinsi Wakristo wanavyoweza kuonyesha kwamba wao ‘ni wa Yehova’ na kwamba ‘wanakataa ukosefu wa uadilifu.’
▪ “Ninyi Ni Mashahidi Wangu”
▪ “Mtakuwa Mashahidi Wangu”
Katika makala hizi tutachunguza kwa nini ni muhimu kwetu kuitwa Mashahidi wa Yehova. Jifunze jinsi kujivunia kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yehova na Yesu kunavyopaswa kutuchochea kushiriki kwa bidii katika kazi hiyo na kumtukuza Mungu na Kristo kupitia mwenendo wetu mtakatifu.
JALADA: Dada wawili watumia kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? kuwahubiria wanawake wawili wa Kindebele waliovaa mavazi ya kitamaduni. Wameketi nje ya nyumba yao. Wandebele ni asilimia mbili tu ya idadi ya watu nchini humo
AFRIKA KUSINI
IDADI YA WATU
50,500,000
KILELE CHA WAHUBIRI
94,101
WAHUBIRI WANAOZUNGUMZA KINDEBELE
1,003