Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 8/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 8/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Agosti 15, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

TOLEO LA FUNZO

SEPTEMBA 29, 2014–OKTOBA 5, 2014

Wanawake Wanatimiza Sehemu Gani Katika Kusudi la Yehova?

UKURASA WA 6 • NYIMBO: 86, 104

OKTOBA 6-12, 2014

Tumia Neno la Mungu—Liko Hai!

UKURASA WA 11 • NYIMBO: 114, 101

OKTOBA 13-19, 2014

Jinsi Yehova Anavyotukaribia

UKURASA WA 16 • NYIMBO: 51, 91

OKTOBA 20-26, 2014

Sikia Sauti ya Yehova Popote Ulipo

UKURASA WA 21 • NYIMBO: 26, 89

MAKALA ZA FUNZO

▪ Wanawake Wanatimiza Sehemu Gani Katika Kusudi la Yehova?

Jifunze jinsi uasi dhidi ya Mungu katika Edeni ulivyoathiri wanaume na wanawake. Chunguza maisha ya baadhi ya wanawake wa zamani waliomwogopa Mungu. Jifunze pia sehemu ambayo wanawake wakristo wanatimiza katika kusudi la Mungu leo.

▪ Tumia Neno la Mungu—Liko Hai!

Kila mhubiri wa Ufalme anataka kuwa stadi katika huduma. Fikiria baadhi ya mapendekezo yanayoonyesha jinsi tunavyoweza kutumia Biblia pamoja na trakti zetu kuzungumza na watu na kufikia mioyo yao tukitumia Neno la Yehova lililo hai.

▪ Jinsi Yehova Anavyotukaribia

Tunahitaji kuwa na uhusiano wa kibinafsi na Muumba wetu. Jifunze jinsi uandalizi wa Yehova wa fidia na Neno lake lililoandikwa unavyothibitisha kwamba amechukua hatua ya kwanza ili tumkaribie.

▪ Sikia Sauti ya Yehova Popote Ulipo

Ili tutembee katika njia ya ile kweli, ni lazima tusikilize anayosema Yehova. Jifunze jinsi tunavyoweza kuisikiliza sauti ya Yehova licha ya vikengeusha-fikira kutoka kwa Shetani na mielekeo yetu ya dhambi. Makala hii itatusaidia kuthamini umuhimu wa kuwasiliana vizuri na Mungu wa kweli.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Je, Unapata ‘Chakula kwa Wakati Unaofaa’?

26 ‘Rudi na Uwatie Nguvu Ndugu Zako’

29 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Dada wakihubiri kwa Kirusi kwenye kijia cha ufuoni huko Tel-Aviv. Nyuma yao kuna mji wa kisasa wa Jaffa wenye milima ya mawe, mji uliokuwa bandari ya kale ya Yopa

ISRAEL

IDADI YA WATU

8,050,000

KILELE CHA WAHUBIRI MWAKA WA 2013

1,459

HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2013

2,671

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki