Yaliyomo
Agosti 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
SEPTEMBA 29, 2014–OKTOBA 5, 2014
Wanawake Wanatimiza Sehemu Gani Katika Kusudi la Yehova?
UKURASA WA 6 • NYIMBO: 86, 104
OKTOBA 6-12, 2014
UKURASA WA 11 • NYIMBO: 114, 101
OKTOBA 13-19, 2014
UKURASA WA 16 • NYIMBO: 51, 91
OKTOBA 20-26, 2014
Sikia Sauti ya Yehova Popote Ulipo
UKURASA WA 21 • NYIMBO: 26, 89
MAKALA ZA FUNZO
▪ Wanawake Wanatimiza Sehemu Gani Katika Kusudi la Yehova?
Jifunze jinsi uasi dhidi ya Mungu katika Edeni ulivyoathiri wanaume na wanawake. Chunguza maisha ya baadhi ya wanawake wa zamani waliomwogopa Mungu. Jifunze pia sehemu ambayo wanawake wakristo wanatimiza katika kusudi la Mungu leo.
▪ Tumia Neno la Mungu—Liko Hai!
Kila mhubiri wa Ufalme anataka kuwa stadi katika huduma. Fikiria baadhi ya mapendekezo yanayoonyesha jinsi tunavyoweza kutumia Biblia pamoja na trakti zetu kuzungumza na watu na kufikia mioyo yao tukitumia Neno la Yehova lililo hai.
▪ Jinsi Yehova Anavyotukaribia
Tunahitaji kuwa na uhusiano wa kibinafsi na Muumba wetu. Jifunze jinsi uandalizi wa Yehova wa fidia na Neno lake lililoandikwa unavyothibitisha kwamba amechukua hatua ya kwanza ili tumkaribie.
▪ Sikia Sauti ya Yehova Popote Ulipo
Ili tutembee katika njia ya ile kweli, ni lazima tusikilize anayosema Yehova. Jifunze jinsi tunavyoweza kuisikiliza sauti ya Yehova licha ya vikengeusha-fikira kutoka kwa Shetani na mielekeo yetu ya dhambi. Makala hii itatusaidia kuthamini umuhimu wa kuwasiliana vizuri na Mungu wa kweli.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Je, Unapata ‘Chakula kwa Wakati Unaofaa’?
26 ‘Rudi na Uwatie Nguvu Ndugu Zako’
JALADA: Dada wakihubiri kwa Kirusi kwenye kijia cha ufuoni huko Tel-Aviv. Nyuma yao kuna mji wa kisasa wa Jaffa wenye milima ya mawe, mji uliokuwa bandari ya kale ya Yopa
ISRAEL
IDADI YA WATU
8,050,000
KILELE CHA WAHUBIRI MWAKA WA 2013
1,459
HUDHURIO LA UKUMBUSHO MWAKA WA 2013
2,671