Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 9/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 9/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Septemba 15, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

TOLEO LA FUNZO

OKTOBA 27, 2014–NOVEMBA 2, 2014

Je, Unasadiki Kwamba Una Kweli? Kwa Nini?

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 28, 107

NOVEMBA 3-9, 2014

Mtumikie Mungu kwa Ushikamanifu Licha ya “Dhiki Nyingi”

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 135, 133

NOVEMBA 10-16, 2014

Wazazi—Wachungeni Watoto Wenu

UKURASA WA 17 • NYIMBO: 88, 24

NOVEMBA 17-23, 2014

Adui wa Mwisho, Kifo, Aangamizwa

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 111, 109

NOVEMBA 24-30, 2014

Wakumbuke Watumishi wa Wakati Wote

UKURASA WA 28 • NYIMBO: 95, 100

MAKALA ZA FUNZO

▪ Je, Unasadiki Kwamba Una Kweli? Kwa Nini?

Makala hii inaonyesha baadhi ya sababu zinazofanya watu wengi wafikie mkataa kwamba Mashahidi wa Yehova wana kweli. Tutachunguza pia sababu kwa nini Mashahidi wanasadiki kwamba wana kweli.

▪ Mtumikie Mungu kwa Ushikamanifu Licha ya “Dhiki Nyingi”

Tunapatwa na dhiki kwa sababu tunaishi katika ulimwengu wa Shetani. Majaribu fulani ni kama mashambulizi ya moja kwa moja ya imani yetu, na mengine ni ya hila sana. Makala hii itatusaidia kutambua na kujitayarisha kukabiliana na mashambulizi ya Shetani.

▪ Wazazi—Wachungeni Watoto Wenu

Wazazi wanapaswa kuwalea watoto wao “katika nidhamu na mwongozo wa akilini wa Yehova.” (Efe. 6:4) Makala hii inazungumzia njia tatu ambazo wazazi wanaweza kufanya hivyo na kuwa wachungaji wa kiroho wa watoto wao wanaoendelea kukua.

▪ Adui wa Mwisho, Kifo, Aangamizwa

Kifo kilianzaje kuwaathiri wanadamu? ‘Adui wa mwisho, kifo, ataangamizwaje’? (1 Kor. 15:26) Ona jinsi majibu ya maswali hayo yanavyokazia sifa ya Yehova ya haki, hekima, na hasa upendo wake.

▪ Wakumbuke Watumishi wa Wakati Wote

Kwa muda mrefu, Yehova amekuwa na watumishi waaminifu wanaomtumikia kwa wakati wote licha ya changamoto za kufanya hivyo katika mfumo huu wa mambo. Tunaweza kufanya nini ili ‘kukumbuka akilini kazi yao ya uaminifu na kazi yao ya jasho yenye upendo’?—1 The. 1:3.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Je, ‘Unajitahidi Kufikia’ Mapendeleo?

22 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

JALADA: Ndugu wawili wakimhubiria mvuvi huko Negombo, kwenye pwani ya magharibi ya Sri Lanka

SRI LANKA

IDADI YA WATU

20,860,000

WAHUBIRI

5,600

MAPAINIA WA KAWAIDA

641

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki