Yaliyomo
Novemba 15, 2014
© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
DESEMBA 29–JANUARI 4, 2015
Ufufuo wa Yesu—Kwa Nini Ni Muhimu Kwetu?
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 5, 60
JANUARI 5-11, 2015
Kwa Nini Ni Lazima Tuwe Watakatifu?
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 119, 17
JANUARI 12-18, 2015
Ni Lazima Tuwe Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote
UKURASA WA 13 • NYIMBO: 65, 106
JANUARI 19-25, 2015
“Watu Ambao Mungu Wao Ni Yehova”
UKURASA WA 18 • NYIMBO: 46, 63
JANUARI 26–FEBRUARI 1, 2015
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 112, 101
MAKALA ZA FUNZO
▪ Ufufuo wa Yesu—Kwa Nini Ni Muhimu Kwetu?
Jifunze kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba Yesu alifufuliwa na yuko hai leo. Makala hii inaonyesha pia jinsi kufufuliwa kwa Kristo kwenye uhai wa kimbingu usioweza kufa kunavyopaswa kutuchochea sisi na utendaji wetu tukiwa watangazaji wa Ufalme.
▪ Kwa Nini Ni Lazima Tuwe Watakatifu?
▪ Ni Lazima Tuwe Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote
Makala hizi zinazotegemea hasa kitabu cha Mambo ya Walawi zinaonyesha kwa nini Yehova anataka watu wake wawe watakatifu na jinsi tunavyoweza kuonyesha sifa hiyo. Zinazungumzia pia jinsi tunavyoweza kuwa watakatifu katika mwenendo wetu wote.
▪ “Watu Ambao Mungu Wao Ni Yehova”
▪ “Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu”
Baadhi ya watu tunaojifunza nao Biblia wanaona ni vigumu kuamini kwamba Yehova ana tengenezo moja tu duniani. Wanafikiri kwamba unyoofu pekee unatosha ili kumpendeza Mungu haidhuru dini ya mtu. Makala hizi zitaonyesha umuhimu wa kuwatambua watu wa Mungu na kujiunga nao katika kumtumikia Yehova.
PIA KATIKA TOLEO HILI
JALADA: Wahubiri wa Ufalme wakihubiri Santiago de Cuba, jiji la pili kwa ukubwa kwenye kisiwa ambacho ni maarufu kwa sababu ya miziki na dansi za kitamaduni
KUBA
IDADI YA WATU
11,163,934
WAHUBIRI
96,206
MAPAINIA WA KAWAIDA
9,040