Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 11/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 11/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Novemba 15, 2014

© 2014 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

TOLEO LA FUNZO

DESEMBA 29–JANUARI 4, 2015

Ufufuo wa Yesu​—Kwa Nini Ni Muhimu Kwetu?

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 5, 60

JANUARI 5-11, 2015

Kwa Nini Ni Lazima Tuwe Watakatifu?

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 119, 17

JANUARI 12-18, 2015

Ni Lazima Tuwe Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 65, 106

JANUARI 19-25, 2015

“Watu Ambao Mungu Wao Ni Yehova”

UKURASA WA 18 • NYIMBO: 46, 63

JANUARI 26–FEBRUARI 1, 2015

“Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu”

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 112, 101

MAKALA ZA FUNZO

▪ Ufufuo wa Yesu​—Kwa Nini Ni Muhimu Kwetu?

Jifunze kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba Yesu alifufuliwa na yuko hai leo. Makala hii inaonyesha pia jinsi kufufuliwa kwa Kristo kwenye uhai wa kimbingu usioweza kufa kunavyopaswa kutuchochea sisi na utendaji wetu tukiwa watangazaji wa Ufalme.

▪ Kwa Nini Ni Lazima Tuwe Watakatifu?

▪ Ni Lazima Tuwe Watakatifu Katika Mwenendo Wetu Wote

Makala hizi zinazotegemea hasa kitabu cha Mambo ya Walawi zinaonyesha kwa nini Yehova anataka watu wake wawe watakatifu na jinsi tunavyoweza kuonyesha sifa hiyo. Zinazungumzia pia jinsi tunavyoweza kuwa watakatifu katika mwenendo wetu wote.

▪ “Watu Ambao Mungu Wao Ni Yehova”

▪ “Sasa Ninyi Ni Watu wa Mungu”

Baadhi ya watu tunaojifunza nao Biblia wanaona ni vigumu kuamini kwamba Yehova ana tengenezo moja tu duniani. Wanafikiri kwamba unyoofu pekee unatosha ili kumpendeza Mungu haidhuru dini ya mtu. Makala hizi zitaonyesha umuhimu wa kuwatambua watu wa Mungu na kujiunga nao katika kumtumikia Yehova.

PIA KATIKA TOLEO HILI

28 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Wahubiri wa Ufalme wakihubiri Santiago de Cuba, jiji la pili kwa ukubwa kwenye kisiwa ambacho ni maarufu kwa sababu ya miziki na dansi za kitamaduni

KUBA

IDADI YA WATU

11,163,934

WAHUBIRI

96,206

MAPAINIA WA KAWAIDA

9,040

270 Wahubiri viziwi wanaotumia Lugha ya Ishara ya Kuba
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki