Yaliyomo
Februari 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
APRILI 6-12
Iga Unyenyekevu na Wororo wa Yesu
UKURASA WA 5 • NYIMBO: 5, 84
APRILI 13-19
Iga Ujasiri na Utambuzi wa Yesu
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 99, 108
APRILI 20-26
Kutayarisha Mataifa kwa Ajili ya “Fundisho la Yehova”
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 98, 104
APRILI 27–MEI 3
Yehova Huongoza Kazi Yetu ya Kufundisha Ulimwenguni Pote
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 103, 66
MAKALA ZA FUNZO
▪ Iga Unyenyekevu na Wororo wa Yesu
▪ Iga Ujasiri na Utambuzi wa Yesu
Biblia inatuhimiza tufuate hatua za Yesu kwa ukaribu. (1 Pet. 2:21) Tukiwa wanadamu wasio wakamilifu, je, tunaweza kufuata mfano mkamilifu wa Yesu? Makala ya kwanza inazungumzia jinsi tunavyoweza kuiga unyenyekevu na wororo wake. Makala ya pili inaonyesha jinsi tunavyoweza kuiga ujasiri na utambuzi wake.
▪ Kutayarisha Mataifa kwa Ajili ya “Fundisho la Yehova”
▪ Yehova Huongoza Kazi Yetu ya Kufundisha Ulimwenguni Pote
Makala ya kwanza inaonyesha jinsi Yehova alivyowasaidia wanafunzi wa Yesu wa karne ya kwanza kutangaza habari njema. Katika makala ya pili, tutazungumzia matukio fulani ya karibuni ambayo yanatuwezesha kuwahubiria watu wenye mioyo minyoofu ujumbe wa Ufalme duniani pote.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Wajapani Wapokea Zawadi Ambayo Hawakutarajia
15 Dumisha Bidii Yako Katika Huduma
JALADA: Mashahidi wanamwonyesha mwenye nyumba gazeti la Amkeni! katika huduma ya nyumba kwa nyumba kwenye kisiwa cha Bali. Waindonesia wana desturi ya kuwakaribisha wageni
INDONESIA
IDADI YA WATU
237,600,000
WAHUBIRI
24,521
MAPAINIA WA KAWAIDA
2,472
Kuna mapainia wa pekee 369 wanaohubiri kwenye visiwa 28