Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w15 3/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 3/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Machi 15, 2015

© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

TOLEO LA FUNZO

MEI 4-10, 2015

‘Hii Ndiyo Njia Unayoikubali’

UKURASA WA 7 • NYIMBO: 65, 64

MEI 11-17, 2015

Je, ‘Utaendelea Kukesha’?

UKURASA WA 12 • NYIMBO: 108, 24

MEI 18-24, 2015

Jifunze Kutokana na Mfano wa Talanta

UKURASA WA 19 • NYIMBO: 101, 116

MEI 25-31, 2015

Kuwaunga Mkono kwa Ushikamanifu Ndugu za Kristo

UKURASA WA 25 • NYIMBO: 107, 63

MAKALA ZA FUNZO

▪ ‘Hii Ndiyo Njia Unayoikubali’

▪ Je, ‘Utaendelea Kukesha’?

Katika makala ya kwanza, tutazungumzia jinsi ambavyo Yehova amewaongoza watu wake kupitia mafundisho ambayo yanaendelea kuwa wazi na kueleweka hatua kwa hatua. Katika makala ya pili, tutachunguza mfano wa Yesu wa wale mabikira kumi na kuona jinsi unavyoweza kutusaidia kuendelea kuwa macho kiroho.

▪ Jifunze Kutokana na Mfano wa Talanta

▪ Kuwaunga Mkono kwa Ushikamanifu Ndugu za Kristo

Tutazungumzia mifano miwili ambayo Yesu alitoa alipokuwa akieleza kuhusu ishara ya kuwapo kwake. Mfano mmoja unahusu watumwa ambao wanapewa talanta, na ule mwingine unazungumzia kutenganishwa kwa kondoo na mbuzi. Jifunze kwa nini Yesu alitoa mifano hiyo na jinsi tunavyohusika.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Tulipata Kazi Yenye Kuridhisha Zaidi

17 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

30 Amri ya Kuoa au Kuolewa “Katika Bwana Tu”—Je, Imepitwa na Wakati?

JALADA: Watalii wengi hutembelea Copán ili kuona magofu ambayo yamekuwapo kabla ya mwaka wa 1500, lakini Mashahidi wa Yehova nchini humo huwasaidia watu kuwa na tumaini la wakati ujao

HONDURAS

IDADI YA WATU

8,111,000

WAHUBIRI

22,098

MAPAINIA WA KAWAIDA

3,471

Lugha rasmi nchini Honduras ni Kihispania. Lakini wahubiri 365 katika makutaniko 12 wanatumia lugha ya Garifuna. Pia, kuna makutaniko 11 na vikundi 3 ambavyo hutumia Lugha ya Alama au Lugha ya Ishara ya Honduras

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki