Yaliyomo
Machi 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
MEI 4-10, 2015
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 65, 64
MEI 11-17, 2015
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 108, 24
MEI 18-24, 2015
Jifunze Kutokana na Mfano wa Talanta
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 101, 116
MEI 25-31, 2015
Kuwaunga Mkono kwa Ushikamanifu Ndugu za Kristo
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 107, 63
MAKALA ZA FUNZO
▪ ‘Hii Ndiyo Njia Unayoikubali’
▪ Je, ‘Utaendelea Kukesha’?
Katika makala ya kwanza, tutazungumzia jinsi ambavyo Yehova amewaongoza watu wake kupitia mafundisho ambayo yanaendelea kuwa wazi na kueleweka hatua kwa hatua. Katika makala ya pili, tutachunguza mfano wa Yesu wa wale mabikira kumi na kuona jinsi unavyoweza kutusaidia kuendelea kuwa macho kiroho.
▪ Jifunze Kutokana na Mfano wa Talanta
▪ Kuwaunga Mkono kwa Ushikamanifu Ndugu za Kristo
Tutazungumzia mifano miwili ambayo Yesu alitoa alipokuwa akieleza kuhusu ishara ya kuwapo kwake. Mfano mmoja unahusu watumwa ambao wanapewa talanta, na ule mwingine unazungumzia kutenganishwa kwa kondoo na mbuzi. Jifunze kwa nini Yesu alitoa mifano hiyo na jinsi tunavyohusika.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Tulipata Kazi Yenye Kuridhisha Zaidi
17 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
30 Amri ya Kuoa au Kuolewa “Katika Bwana Tu”—Je, Imepitwa na Wakati?
JALADA: Watalii wengi hutembelea Copán ili kuona magofu ambayo yamekuwapo kabla ya mwaka wa 1500, lakini Mashahidi wa Yehova nchini humo huwasaidia watu kuwa na tumaini la wakati ujao
HONDURAS
IDADI YA WATU
8,111,000
WAHUBIRI
22,098
MAPAINIA WA KAWAIDA
3,471
Lugha rasmi nchini Honduras ni Kihispania. Lakini wahubiri 365 katika makutaniko 12 wanatumia lugha ya Garifuna. Pia, kuna makutaniko 11 na vikundi 3 ambavyo hutumia Lugha ya Alama au Lugha ya Ishara ya Honduras