Yaliyomo
Mei 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
JUNI 29, 2015–JULAI 5, 2015
Uwe Macho—Shetani Anataka Kukumeza!
UKURASA WA 9 • NYIMBO: 54, 43
JULAI 6-12, 2015
UKURASA WA 14 • NYIMBO: 60, 100
JULAI 13-19, 2015
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 81, 134
JULAI 20-26, 2015
Mwige Yule Anayeahidi Uzima wa Milele
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 12, 69
MAKALA ZA FUNZO
▪ Uwe Macho—Shetani Anataka Kukumeza!
▪ Unaweza Kumshinda Shetani!
Biblia inamfananisha Shetani na simba anayewinda. Shetani ana nguvu, ni mkatili, na mdanganyifu. Makala hizi zitatusaidia kuona umuhimu wa kusimama imara ili kumpinga adui huyo hatari. Pia, zitatuonyesha jinsi tunavyoweza kujilinda dhidi ya mbinu zake za udanganyifu.
▪ “Waliziona” Ahadi
▪ Mwige Yule Anayeahidi Uzima wa Milele
Uwezo wetu wa kuwazia mambo ambayo hatujawahi kuyaona unaweza kutumiwa vizuri au vibaya. Katika makala hizi tutazungumzia watu kadhaa wanaotajwa katika Biblia. Tutajifunza jinsi uwezo wetu wa kuwazia mambo ambayo hatuyaoni unavyoweza kutusaidia tuwe na imani na kuiga fadhili, hekima, furaha, na upendo wa Yehova.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Kukumbuka Upendo Wangu wa Kwanza Kumenisaidia Kuvumilia
JALADA: Ndugu wawili wakiongoza funzo la Biblia
ARMENIA
IDADI YA WATU
3,026,900
WAHUBIRI
11,143
MAPAINIA WA KAWAIDA
2,205
23,844
Idadi ya watu waliohudhuria Ukumbusho uliofanywa Aprili 14, 2014, ni zaidi ya mara mbili ya idadi ya wahubiri