Yaliyomo
Julai 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
AGOSTI 31–SEPTEMBA 6, 2015
Jitahidi Kuboresha Paradiso ya Kiroho
UKURASA WA 7
SEPTEMBA 7-13, 2015
UKURASA WA 14
SEPTEMBA 14-20, 2015
UKURASA WA 22
SEPTEMBA 21-27, 2015
UKURASA WA 27
MAKALA ZA FUNZO
▪ Jitahidi Kuboresha Paradiso ya Kiroho
Watu wa Yehova wanafurahia mazingira ya pekee ya kiroho katika sehemu ya duniani ya tengenezo la Yehova. Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunathamini mpango huo wa Yehova, na tunawezaje kuboresha paradiso hiyo? Makala hii itajibu maswali hayo.
▪ “Ukombozi Wenu Unakaribia”!
Makala hii inafafanua mambo yenye kusisimua yaliyo mbele yetu. Inaeleza pia kwa nini watu wa Mungu wanaweza kukabili dhiki kuu wakiwa na uhakika wa kuokolewa.
▪ Shikamana na Ufalme wa Mungu
Tofauti na watu wengi katika ulimwengu huu unaotawaliwa na Shetani, Wakristo wameahidi kuwa washikamanifu kwa Yehova. Makala hii inaeleza kwa nini hatuungi mkono upande wowote katika mambo ya ulimwengu huu. Pia, inaeleza jinsi tunavyoweza kuzoeza akili na dhamiri zetu kutounga mkono upande wowote.
▪ Hapa Ni Mahali Petu pa Ibada
Watu wa Yehova wanakutana kwa ajili ya ibada katika maelfu ya Majumba ya Ufalme na majengo mengine duniani kote. Katika makala hii tutachunguza kanuni za Kimaandiko zitakazotusaidia kujua jinsi tunavyopaswa kujiendesha, kugharimia, na kudumisha Jumba la Ufalme—ili kumtukuza Yehova.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Urusi
12 Kumtumikia Yehova Katika “Siku Zenye Msiba”
20 Je, Ni Lazima Wengine Watambue Kazi Yako?
32 Je, Wajua?
JALADA: Ndugu na dada wanapumzika na kupata chakula cha mchana wakiwa utumishi katikati ya eneo kubwa la Siberia
URUSI
IDADI YA WATU
143,930,000
WAHUBIRI