Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w15 7/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 7/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Julai 15, 2015

© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

TOLEO LA FUNZO

AGOSTI 31–SEPTEMBA 6, 2015

Jitahidi Kuboresha Paradiso ya Kiroho

UKURASA WA 7

SEPTEMBA 7-13, 2015

“Ukombozi Wenu Unakaribia”!

UKURASA WA 14

SEPTEMBA 14-20, 2015

Shikamana na Ufalme wa Mungu

UKURASA WA 22

SEPTEMBA 21-27, 2015

Hapa Ni Mahali Petu pa Ibada

UKURASA WA 27

MAKALA ZA FUNZO

▪ Jitahidi Kuboresha Paradiso ya Kiroho

Watu wa Yehova wanafurahia mazingira ya pekee ya kiroho katika sehemu ya duniani ya tengenezo la Yehova. Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunathamini mpango huo wa Yehova, na tunawezaje kuboresha paradiso hiyo? Makala hii itajibu maswali hayo.

▪ “Ukombozi Wenu Unakaribia”!

Makala hii inafafanua mambo yenye kusisimua yaliyo mbele yetu. Inaeleza pia kwa nini watu wa Mungu wanaweza kukabili dhiki kuu wakiwa na uhakika wa kuokolewa.

▪ Shikamana na Ufalme wa Mungu

Tofauti na watu wengi katika ulimwengu huu unaotawaliwa na Shetani, Wakristo wameahidi kuwa washikamanifu kwa Yehova. Makala hii inaeleza kwa nini hatuungi mkono upande wowote katika mambo ya ulimwengu huu. Pia, inaeleza jinsi tunavyoweza kuzoeza akili na dhamiri zetu kutounga mkono upande wowote.

▪ Hapa Ni Mahali Petu pa Ibada

Watu wa Yehova wanakutana kwa ajili ya ibada katika maelfu ya Majumba ya Ufalme na majengo mengine duniani kote. Katika makala hii tutachunguza kanuni za Kimaandiko zitakazotusaidia kujua jinsi tunavyopaswa kujiendesha, kugharimia, na kudumisha Jumba la Ufalme—ili kumtukuza Yehova.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Urusi

12 Kumtumikia Yehova Katika “Siku Zenye Msiba”

20 Je, Ni Lazima Wengine Watambue Kazi Yako?

32 Je, Wajua?

JALADA: Ndugu na dada wanapumzika na kupata chakula cha mchana wakiwa utumishi katikati ya eneo kubwa la Siberia

URUSI

IDADI YA WATU

143,930,000

WAHUBIRI

171,268

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki