Yaliyomo
Septemba 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
OKTOBA 26, 2015–NOVEMBA 1, 2015
Je, Unajitahidi Kukomaa Kiroho?
UKURASA WA 3
NOVEMBA 2-8, 2015
Je, Dhamiri Yako Inakuongoza Vizuri?
UKURASA WA 8
NOVEMBA 9-15, 2015
UKURASA WA 13
NOVEMBA 16-22, 2015
Yehova Anaonyeshaje Kwamba Anatupenda?
UKURASA WA 18
NOVEMBA 23-29, 2015
Tunaweza Kuonyeshaje Kwamba Tunampenda Yehova?
UKURASA WA 23
MAKALA ZA FUNZO
▪ Je, Unajitahidi Kukomaa Kiroho?
▪ Je, Dhamiri Yako Inakuongoza Vizuri?
Watumishi wa Mungu wanapaswa kujitahidi kukomaa kiroho na kuzoeza dhamiri yao waliyopewa na Mungu. Katika makala hizi tutapata mwongozo unaofaa kuhusu mambo hayo mawili. Pia, tutazungumzia jinsi ukomavu wa kiroho na dhamiri yetu inavyoweza kutuongoza maishani.
▪ “Simameni Imara Katika Imani”
Tunaweza kujifunza mambo muhimu kuhusu imani kwa kuchunguza kisa cha Petro alipotembea juu ya maji katika Bahari ya Galilaya. Katika makala hii tutajifunza jinsi tunavyoweza kutambua ikiwa imani yetu imedhoofika na jinsi tunavyoweza kuimarisha imani yetu.
▪ Yehova Anaonyeshaje Kwamba Anatupenda?
▪ Tunaweza Kuonyeshaje Kwamba Tunampenda Yehova?
Tunapata furaha na tunaridhika maishani tunapompenda Yehova na kujua kwamba yeye pia anatupenda. Katika makala hizi, tutachunguza jinsi Yehova anavyoonyesha kwamba anatupenda na jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunampenda.
PIA KATIKA TOLEO HILI
JALADA: Wahubiri wanaoshirikiana na kutaniko la Kichina nchini Italia wakizungumza na watalii wanaotembelea jiji la Roma. Vigari vyetu vyenye machapisho karibu na majengo maarufu ya makumbusho huvutia mamia ya watu kila mwezi
ITALIA
IDADI YA WATU
60,782,668
WAHUBIRI
251,650
MAPAINIA
33,073
Wahubiri zaidi ya 24,000 hutangaza habari njema katika lugha 37 za kigeni