Yaliyomo
Oktoba 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
NOVEMBA 30, 2015–DESEMBA 6, 2015
Je, Unauona Mkono wa Yehova Maishani Mwako?
UKURASA WA 4
DESEMBA 7-13, 2015
UKURASA WA 9
DESEMBA 14-20, 2015
Mtumikie Yehova Bila Kukengeuka
UKURASA WA 18
DESEMBA 21-27, 2015
UKURASA WA 23
MAKALA ZA FUNZO
▪ Je, Unauona Mkono wa Yehova Maishani Mwako?
▪ “Tupe Imani Zaidi”
Katika makala ya kwanza, tutajifunza jinsi tunavyoweza kuuona mkono wa Mungu na kutambua jinsi anavyotujali. Pia, tutaona jinsi tunavyoweza kuepuka makosa waliyofanya watu ambao hawakuuona mkono wa Mungu. Makala ya pili inafafanua jinsi imani inavyoweza kutusaidia kupata wokovu na namna tunavyoweza kuimarisha na kuonyesha imani yetu.—Ebr. 11:6.
▪ Mtumikie Yehova Bila Kukengeuka
▪ Tafakari Mambo ya Kiroho
Tunaishi katika ulimwengu wenye vikengeusha fikira vingi. Tunawezaje kuepuka kukengeuka na hivyo kuendelea kukazia fikira mambo ya kiroho maishani mwetu? Isitoshe, tunahitaji kufanya nini ili tufaidike kikamili tunaposoma Neno la Mungu? Tutajibu maswali hayo katika makala hizi.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 ‘Endeleeni Kuwaheshimu Sana Watu wa Namna Hiyo’
14 Hakujutia Uamuzi Aliofanya Ujanani
JALADA: Ndugu akiongoza mkutano wa utumishi wa shambani katika mji wa St. Helens, Tasmania
TASMANIA, AUSTRALIA
IDADI YA WATU
514,800
MAKUTANIKO
24
WAHUBIRI
1,779
UWIANO