Yaliyomo
Novemba 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
DESEMBA 28, 2015–JANUARI 3, 2016
Mzoeze Mtoto Wako Amtumikie Yehova
UKURASA WA 3
JANUARI 4-10, 2016
Mzoeze Kijana Wako Amtumikie Yehova
UKURASA WA 8
JANUARI 11-17, 2016
UKURASA WA 16
JANUARI 18-24, 2016
Je, ‘Unampenda Jirani Yako Kama Unavyojipenda’?
UKURASA WA 21
JANUARI 25-31, 2016
Miaka Mia Moja ya Utawala wa Ufalme!
UKURASA WA 26
MAKALA ZA FUNZO
▪ Mzoeze Mtoto Wako Amtumikie Yehova
▪ Mzoeze Kijana Wako Amtumikie Yehova
Yehova amewakabidhi wazazi jukumu zito na lenye thamani sana, yaani, kuwazoeza watoto wao ili wamtumikie. Makala hizi zinaeleza jinsi wazazi wanavyoweza kutimiza jukumu hilo kwa kumwiga Yesu, hususa ni kwa kuiga sifa zake tatu, yaani, upendo, unyenyekevu, na ufahamu.
▪ Yehova Ni Mungu wa Upendo
▪ Je, ‘Unampenda Jirani Yako Kama Unavyojipenda’?
Makala ya kwanza inaeleza jinsi Yehova alivyo Mungu wa Upendo. Pia, inafafanua jinsi ambavyo Mungu ameonyesha kwamba anawapenda wanadamu. Makala ya pili inaeleza jinsi watumishi wa Yehova wanavyoweza kuonyesha kwamba wanawapenda jirani zao.
▪ Miaka Mia Moja ya Utawala wa Ufalme!
Makala hii inaeleza mambo ambayo yamefanywa ili kutangaza habari njema katika miaka mia moja ya utawala wa Ufalme. Soma kuhusu baadhi ya vifaa na njia zilizotumiwa katika kazi yetu ya kuwafundisha watu Biblia. Pia, soma kuhusu mazoezi mazuri ambayo wahubiri wa Ufalme wamepokea ndani ya miaka hiyo yote.
PIA KATIKA TOLEO HILI
JALADA: Mwangalizi wa mzunguko na baadhi ya mapainia wa pekee wakisafiri kwa mashua katika msitu wa Amazoni. Wanafurahia kuhubiri habari njema kwenye vijiji vya mbali vilivyo kando ya mito
BRAZILI
IDADI YA WATU
203,067,835
WAHUBIRI
794,766
MAPAINIA
84,550
HUDHURIO LA UKUMBUSHO (2014)