Utangulizi
Unaonaje?
Kwa kuwa Biblia ni kitabu kutoka kwa Mungu, je, jitihada za kuiangamiza zinaweza kufaulu?
Biblia yenyewe inajibu hivi: “Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka; lakini kwa habari ya neno la Mungu wetu, litadumu mpaka wakati usio na kipimo.”—Isaya 40:8.
Mfululizo wa makala hizi unaeleza historia yenye kuvutia kuhusu jinsi Biblia ilivyookoka.