Utangulizi
WEWE UNA MAONI GANI?
Kwa kuwa maisha katika ulimwengu huu ni magumu, Je, kuna mahali tunakoweza kupata faraja na msaada wa kweli?
Biblia inasema hivi: “Baba ya rehema nyororo na Mungu wa faraja yote . . . hutufariji katika dhiki yetu yote.”—2 Wakorintho 1:3, 4.
Toleo hili la gazeti la Mnara wa Mlinzi linazungumzia jinsi Mungu anavyotufariji.