Utangulizi
UNA MAONI GANI?
Wapanda farasi wanne wa Apokalipsi wanaotajwa katika kitabu cha Ufunuo wanajulikana sana. Baadhi ya watu wanaogopa wanaposoma simulizi hilo. Na wengine wanavutiwa na simulizi hilo. Ona kile ambacho Biblia inasema kuhusu unabii huo:
“Mwenye furaha ni yeye anayesoma kwa sauti na wale wanaosikia maneno ya unabii huu.”—Ufunuo 1:3.
Toleo hii la gazeti la Mnara wa Mlinzi linaeleza jinsi ambavyo wapanda farasi hao wanne wanavyoweza kuwa habari njema kwetu.