Yaliyomo
JUMA LA FEBRUARI 27, 2017–MACHI 5, 2017
7 “Mtegemee Yehova na Ufanye Mema”
Makala hii inazungumzia jinsi andiko la mwaka wa 2017 linavyotutia moyo kumtegemea Yehova tunapokabili hali ngumu. Kwa kutumia mifano ya watumishi waaminifu wa zamani, tutachunguza jinsi tunavyoweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atatutegemeza huku tukichukua hatua ili kutatua matatizo na kuwasaidia wengine.
JUMA LA MACHI 6-12, 2017
12 Thamini Zawadi Yako ya Uhuru wa Kuchagua
Katika makala hii, tutajifunza jinsi ya kuonyesha kwamba tunathamini zawadi ya Mungu ya uhuru wa kuchagua kwa kuitumia katika njia itakayompendeza Mpaji wa zawadi hiyo. Pia, itatusaidia kuona jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunaheshimu namna wengine wanavyotumia uhuru wao wa kuchagua.
JUMA LA MACHI 13-19, 2017
17 Kwa Nini Sifa ya Kiasi Bado Ni Muhimu?
JUMA LA MACHI 20-26, 2017
22 Unaweza Kudumisha Sifa ya Kiasi Unapojaribiwa
Makala hizi zitatusaidia kuelewa vizuri zaidi sifa yenye kuvutia ya kiasi. Makala ya kwanza inaeleza sifa ya kiasi ni nini. Makala ya pili inatufundisha jinsi ya kuendelea kuwa wenye kiasi hata tunapojaribiwa.
JUMA LA MACHI 27, 2017–APRILI 2, 2017
27 “Mambo Hayo Uwakabidhi Watu Waaminifu”
Kizazi kimoja kinapochukua mahali pa kizazi kingine, vijana hufanya kazi iliyokuwa ikifanywa na waliozeeka. Makala hii inazungumzia jinsi wazee na vijana wanavyoweza kufanya mabadiliko hayo kwa mafanikio.
32 JE, WAJUA?