Utangulizi
JE, MUNGU ANAKUJALI?
Majanga yanapotokea au watu wanapoteseka na kufa, huenda tukajiuliza ikiwa kweli Mungu anaona kinachoendelea au hata ikiwa anajali. Biblia inasema:
“Kwa maana macho ya Yehova yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao, lakini uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”—1 Petro 3:12.
Toleo hili la Mnara wa Mlinzi linaonyesha jinsi Mungu anavyotusaidia na jinsi ambavyo hivi karibuni ataondoa hali zote ngumu zinazofanya tuteseke.