Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w18 Agosti uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
w18 Agosti uku. 2

Yaliyomo

JUMA LA OKTOBA 1-7, 2018

3 Je, Una Habari Kamili?

JUMA LA OKTOBA 8-14, 2018

8 Usihukumu kwa Kutazama Sura ya Nje

Makala ya kwanza inazungumzia changamoto ambazo huenda tukakabili tunapojitahidi kupata habari kamili kuhusu jambo fulani. Inazungumzia pia kanuni za Biblia zinazoweza kutusaidia kuboresha uwezo wetu wa kuchanganua habari kwa usahihi. Makala ya pili inazungumzia mambo matatu ambayo mara nyingi huathiri maoni ya watu kuwaelekea wanadamu wenzao. Pia, inaeleza jinsi tunavyoweza kuboresha uwezo wetu wa kuwatendea wengine bila ubaguzi.

13 Simulizi la Maisha​—Nimeazimia Sitalegeza Mikono Yangu

JUMA LA OKTOBA 15-21, 2018

18 Watu Wanaotoa kwa Ukarimu Ni Watu Wenye Furaha

JUMA LA OKTOBA 22-28, 2018

23 Fanya Kazi Pamoja na Yehova Kila Siku

Yehova aliwaumba wanadamu wawe na maisha mazuri na waishi kwa furaha. Ukitambua jinsi shughuli zako za kila siku zinavyochangia kutimizwa kwa makusudi ya Yehova, utakuwa mwenye furaha. Makala hizi zinazungumzia faida tunazopata tunapoonyesha ukarimu katika njia mbalimbali.

28 Subira​—Kuvumilia Ukiwa na Kusudi

31 Hifadhi Yetu ya Vitu vya Kale

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki