Yaliyomo
JUMA LA OKTOBA 1-7, 2018
JUMA LA OKTOBA 8-14, 2018
8 Usihukumu kwa Kutazama Sura ya Nje
Makala ya kwanza inazungumzia changamoto ambazo huenda tukakabili tunapojitahidi kupata habari kamili kuhusu jambo fulani. Inazungumzia pia kanuni za Biblia zinazoweza kutusaidia kuboresha uwezo wetu wa kuchanganua habari kwa usahihi. Makala ya pili inazungumzia mambo matatu ambayo mara nyingi huathiri maoni ya watu kuwaelekea wanadamu wenzao. Pia, inaeleza jinsi tunavyoweza kuboresha uwezo wetu wa kuwatendea wengine bila ubaguzi.
13 Simulizi la Maisha—Nimeazimia Sitalegeza Mikono Yangu
JUMA LA OKTOBA 15-21, 2018
18 Watu Wanaotoa kwa Ukarimu Ni Watu Wenye Furaha
JUMA LA OKTOBA 22-28, 2018
23 Fanya Kazi Pamoja na Yehova Kila Siku
Yehova aliwaumba wanadamu wawe na maisha mazuri na waishi kwa furaha. Ukitambua jinsi shughuli zako za kila siku zinavyochangia kutimizwa kwa makusudi ya Yehova, utakuwa mwenye furaha. Makala hizi zinazungumzia faida tunazopata tunapoonyesha ukarimu katika njia mbalimbali.