Yaliyomo
3 1918—Miaka Mia Moja Iliyopita
JUMA LA DESEMBA 3-9, 2018
JUMA LA DESEMBA 10-16, 2018
Zoea la kusema uwongo limekuwa jambo la kawaida leo. Zoea hilo lilianzaje? Ni uwongo gani mbaya sana ambao umesababisha madhara makubwa? Tunaweza kujilindaje tusidanganywe, na tunaweza kuonyeshaje kwamba sisi ni watu wanaosema ukweli? Tunaweza kutumiaje Sanduku letu la Vifaa vya Kufundishia kufundisha kweli tunapokuwa katika huduma? Makala hizi zitaeleza.
17 Simulizi la Maisha—Yehova Alibariki Sana Uamuzi Wangu
JUMA LA DESEMBA 17-23, 2018
22 Mtumaini Kiongozi Wetu—Kristo
JUMA LA DESEMBA 24-30, 2018
27 Dumisha Amani ya Akili Licha ya Mabadiliko
Tukiwa wanadamu wasio wakamilifu, si rahisi kwetu kukabiliana na mabadiliko, iwe ni mabadiliko yanayohusu maisha yetu au yanayofanywa ndani ya tengenezo. Makala hizi mbili zitatusaidia kudumisha amani ya akili na kuendelea kumtumaini Kiongozi wetu, Kristo, hata maisha yetu yanapobadilika bila kutarajia.