Toleo la Funzo
JULAI 2019
MAKALA ZA FUNZO: SEPTEMBA 2-29, 2019
© 2019 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Wahubiri wengi wa Ufalme huonyesha kwamba wanapendezwa kibinafsi na watu wanaotoka katika nchi zisizo za Kikristo na kushiriki pamoja nao hekima inayopatikana katika Biblia (Tazama makala ya 30, fungu la 12 na 13)