Mikutano ya Utumishi wa Shambani
OKTOBA 3-9
Toleo la Uandikishaji la Oktoba
1. Utakazia makala gani?
2. Utatumia Kichwa jinsi gani?
OKTOBA 10-16
Ziara za Kurudia
1. Unaweza kufungua njia jinsi gani kwenye ziara ya kwanza?
2. Unapaswa kuandika nini kwenye maandishi ya nyumba kwa nyumba?
3. Ungeanza funzo jinsi gani?
OKTOBA 17-23
Kusema ukweli kwa ujasiri, lakini kwa busara
1. Kwa nini sala ni ya maana? (Mdo. 4:29)
2. Kwa nini si jambo linalofaa kutawala mazungumzo?
OKTOBA 24-30
Wakati wa kuongoza mafunzo ya Biblia
1. Unaelekeza wanafunzi kwenye tengenezo jinsi gani?
2. Unawatia moyo wahudhurie mikutano ya kundi jinsi gani?