Mikutano ya Utumishi wa Shambani
OKTOBA 2-8
Katika kutoa maandikisho
1. Utaonyesha makala zipi?
2. Utatumia Kichwa cha Mazungumzo jinsi gani?
OKTOBA 9-15
Tunaweza kuwaje wenye mtazamo mzuri kuhusu
1. Kutoa maandikisho?
2. Kufanyia eneo kazi kwa ukawaida?
3. Vipingamizi vinavyokabiliwa?
OKTOBA 16-22
Kwa nini twapaswa
1. Tumruhusu mwenye nyumba azungumze?
2. Tusikatize utoaji wa mwenzetu?
OKTOBA 23-29
Unapofanya ziara za kurudia
1. Unapaswa kuandika nini kwenye rekodi yako ya nyumba kwa nyumba?
2. Ungeweza kuanzishaje funzo la Biblia?
OKTOBA 30-NOVEMBA 5
Adabu nzuri zinaweza kuonyeshwaje
1. Tunapokuwa milangoni?
2. Tunapotembea nyumba kwa nyumba?