Mikutano ya Utumishi wa Shambani
APRILI 2-8
Kualika Wengine kwenye Ukumbusho
1. Mialiko iliyochapishwa inaweza kutumiwaje kwa njia yenye matokeo?
2. Tunaweza kusema nini?
3. Tunaweza kuwasaidiaje wengine wahudhurie?
APRILI 9-15
Wakati wa kutoa maandikisho
1. Utakazia makala gani?
2. Utaunganishaje toleo na Kichwa cha Mazungumzo?
APRILI 16-22
Ungeweza kufanyaje ziara ya kurudia
1. Kwa mhudhuriaji wa Ukumbusho?
2. Kwa mtu uliyeangushia gazeti?
3. Mahali ambapo ziara iliyotangulia ilikuwa fupi au ilikatizwa?
APRILI 23-29
Kuhubiri kwa ujasiri
1. Ni kwa nini tunahitaji kuwa wajasiri, lakini wenye nadhari?
2. Ujasiri unaweza kusaidiaje katika kutoa ushahidi wa vivi hivi?
3. Tunaweza kutoaje maandikisho kwa ujasiri?
APRILI 30–MEI 6
Kichwa cha Mazungumzo kwa ajili ya Mei
1. Pitieni mambo makuu.
2. Unaweza kutumia utangulizi gani kutoka kitabu Reasoning?
3. Utaingiaje kwenye toleo?